Ushahidi: Delila hakumnyoa Samsoni bali alisingiziwa

Ushahidi: Delila hakumnyoa Samsoni bali alisingiziwa

Samsoni hakunyolewa na Delila bali Delila amekaa kusingiziwaView attachment 2040992
Imekuwa ikienea kuwa mwanamke kwa jina la Delila ndiye alimunyoa Samsoni kitu ambacho si kweli. Wengi hufikiri kuwa Samsoni alinyolewa na Delila.

Ushahidi unaonyesha katika biblia takatifu Delila yeye alihusika katika kumdanganya Samsoni na kujua siri zilizo zificha katika Nywele zake na Delila yeye alihusika pia wakati Samsoni ananyolewa lakini Delila binafsi yeye hakumunyoa Samsoni kitu ambacho Delila amekaa kusingiziwa.

Ushahidi katika biblia ukisoma Waamuzi 16:19
Imeandikwa "Waamuzi 16:19
[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka.


Hivyo ukirejea ushahidi wa biblia Samsoni alinyolewa na mtu mwingine ambaye hakutajwa na wakati huo Samsoni alikuwa magotini mwa Delila.
Yes

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hadithi hii ni nzuri sanal ila kuna watu wanaamini eti ni kweli kuna mtu alikuwa na moguvu ya kuangusha ghorofa. Hii ni haditji tu
Kama za Shabani Robert ambyo imeandikwa kutukuza mfumo dume wa kiyahudi.
Tuulizane mwanamke anae kupikia chakula unawezaje kuepuja mtego wake ? Siku hizi kuna madawa ya kila aina ya asili na viwandani.
Ule chakula chake halafu uepuke mtego wake kama sio uongo ni nin?
Solution ni kutooa kama yesu ila ukiooa umejisalimisha(death tecket)
Mwongo wewe, pumba umeongea. Kwa hiyo kila ukioa huwezi epuka mtego wa mwanamke?
 
Back
Top Bottom