Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasubiri ajichanganye Delila mwingine maishani mwangu,nimlipue kombora. Samsoni popote ulipo nimejifunza jambo kubwa na muhimu sana katika sakata lako.Penzi kitovu cha uzembe.
Mwamba alilala usingizi wa namna gani, alitudhalilisha sana.
Hapana tuwaamini pale tu wanapoaminikaDelila aliacha fundisho kwetu sisi wanaume lakini bado wanaume tunawaamini wanawake
Msichokijua nikuwa Delilah alikuwa ni mpelelezi wa jeshi la wafilistiSamsoni hakunyolewa na Delila bali Delila amekaa kusingiziwaView attachment 2040992
Imekuwa ikienea kuwa mwanamke kwa jina la Delila ndiye alimunyoa Samsoni kitu ambacho si kweli. Wengi hufikiri kuwa Samsoni alinyolewa na Delila.
Ushahidi unaonyesha katika biblia takatifu Delila yeye alihusika katika kumdanganya Samsoni na kujua siri zilizo zificha katika Nywele zake na Delila yeye alihusika pia wakati Samsoni ananyolewa lakini Delila binafsi yeye hakumunyoa Samsoni kitu ambacho Delila amekaa kusingiziwa.
Ushahidi katika biblia ukisoma Waamuzi 16:19
Imeandikwa "Waamuzi 16:19
[19]Naye akamlaza usingizi magotini pake. Kisha akamwita mtu akavinyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake; akaanza kumsumbua, nguvu zake zikamtoka.
Hivyo ukirejea ushahidi wa biblia Samsoni alinyolewa na mtu mwingine ambaye hakutajwa na wakati huo Samsoni alikuwa magotini mwa Delila.
Jamaa alimeza chambo, Palestine walimtuma shushushu mtamu jamaa kaingia kichwakichwa.Msichokijua nikuwa Delilah alikuwa ni mpelelezi wa jeshi la wafilisti
Hapo Samsoni alikuwa tayari kashanyolewa na pia picha hiyo ni picha ya kuchora hivyo ni ngumu kufanana na uhalisia.
Ongezea Kuunda genge la uhalifu(organized crime) na kujipatia fedha kwa njia za udanganyifuBado Delila ni mtuhumiwa namba 1.
Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Hivi yule wakili msomi wa Kenya aliyefungua mashtaka dhidi ya Wayahudi kumuua Yesu kesi yake iliishiwa wapi?Bado Delila ni mtuhumiwa namba 1.
Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Sio rushwa, waandishi ! Ndo wamejichanganya,, kipindi hicho waisrael wakiishi miongoni mwa wafilisti kama wahamiaji, kwani hawakuwa bado na serikali yao, delila alikua mfilisti, kusema alipokea rushwa ni sawa na kusema makachero wakilewa malipo kwa kazi ni rushwaKwa nini Delila alipokea rushwa ili kuifanya kazi hiyo?
Ndo hivyo walipofika caanan,, waliishi tu kama wageni , king saul wamekuja kumchagua baadae sana , lakini wanahistory wanadai, kikundi kilichotoka misri ni handfull person, hivyo ili kujitawala iliwachukua miaka mingi,, vile vita alipigana joshua,, vimekua overated kidogoDuh sasa ahadi ya Mungu kuwakomboa kutoka misri utumwani kwenda nchi ya ahadi yenye maziwa na asali Kanani ina maana gani kama waliishia kuwa watumwa chini ya wafilisti.?
Samsoni alinyang'anywa dame wake sijui na nani, kwa hasira akaenda kuua watu 200,, baadae kapewa dame aoe kwa mahari ya magovi ikabidi tena aue watu na kuwakata magovi,, halafu akabet. Alipoliwa,, kwa hasira akachoma mashamba ya watu moto,, askari wakaanza kumsaka wamfikishe ? Mahakamani , delila alitumika tu kama honeytrapkusema kwamba Samson alikuwa gaidi ni kukosea mana alikuwa mtetezi wa kuwakomboa wa Israel kutoka kwenye utumwa wa wafilisti japo serikali ya kifilisti ilimchukulia kama adui ndomana wakamtumia delilah kumwingiza mtegoni hivyo kama ni makosa delilah atashtakiwa na serekali ya Israel ila kwa wafilisti ni shujaa.
Utofauti wa Samson huyo kwenye mchoro na kwenye biblia ni nini tueleweshane.Kwaiyo Baada Ya Kunyolewa Nywele Akawa Mzungu? Mkuu Picha Ya Simba Ni Lazima Iwe Ya Simba Hauwezi Ukachora Picha Ya Fisi Ukasema Ni Simba
Uyo Samsoni Aliyechorwa Hapo Siye Yeye Ni Tofauti Na Samsoni Wa Kwenye Biblia
Ulikosekana ushahidi.Hivi yule wakili msomi wa Kenya aliyefungua mashtaka dhidi ya Wayahudi kumuua Yesu kesi yake iliishiwa wapi?
Achangamkie na hili la Delila apige mpunga.
Kiasili hii ilikuwa kama rushwa rejea.Sio rushwa, waandishi ! Ndo wamejichanganya,, kipindi hicho waisrael wakiishi miongoni mwa wafilisti kama wahamiaji, kwani hawakuwa bado na serikali yao, delila alikua mfilisti, kusema alipokea rushwa ni sawa na kusema makachero wakilewa malipo kwa kazi ni rushwa
Aliwekewa dawa za kulevya kwenye kinywaji.Penzi kitovu cha uzembe.
Mwamba alilala usingizi wa namna gani, alitudhalilisha sana.
Utofauti wa Samson huyo kwenye mchoro na kwenye biblia ni nini tueleweshane.