Ushahidi: Delila hakumnyoa Samsoni bali alisingiziwa

Ushahidi: Delila hakumnyoa Samsoni bali alisingiziwa

KINGDOM OF PHILISTINE
Philistine Federal Investigation
(PFI)
HEAD OFFICE-Pulatin street Gaza
MOTTO:We are Giants,Power and
Conquers
ID NAME-Delilah
ID NUMBER:666
GENDER: Female
POSITION:Spy
MISSION:Caanan
We believe in god's hands
And Dagon power.

Halafu mwanaume wa kazi akaingia kichwa kichwa Kwa Hiyo killer manzi
Hahahahahaha!
 
Kosa ni la Samson kujimwambafy kwa mbususu ya adui..kalipa!

Wamekufa Naye... ..na hapo ni alikuwa mnadhiri wa Mungu..
 
Ila pia na yeye alipokea rushwa hapo atabaki kuwa na makosa.

Waamuzi 16:5,18
[5]Nao wakuu wa Wafilisti wakamwendea, wakamwambia, Mbembeleze, upate kujua asili ya nguvu zake nyingi, na jinsi tutakavyoweza kumshinda, tupate kumfunga na kumtesa; nasi tutakupa kila mtu fedha elfu na mia moja.
[18]Delila alipoona ya kuwa amemwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akatuma mtu akawaita wakuu wa Wafilisti, akisema, Njoni huku mara hii tu, maana ameniambia yote aliyo nayo moyoni mwake. Ndipo wakuu wa Wafilisti wakamwendea wakachukua ile fedha mikononi mwao.
Kila mfanyakazi Ana. Mshahara na BONUS! hapo delila. Alipewa Bonus ya kazi nzuri.
 
Adam angekaza asile tunda alilopewa na eva hilo picha la delila na samson lisingetokea
.... wangapi leo wanashindwa "kukaza" kwa vishawishi vidogo tu mwanaume anatelekeza familia?
 
Waendesha mashitaka:Wkt wa Operation ukuta mshitakiwa alisema watashikisha ukuta police mwaka huu.

Mahakama:Ni Kweli mshitakiwa ulisema?

Mshitakiwa:Ni Kweli nilisema.

Wakili wa mshitakiwa:Mh. Hakimu naomba police atusaidie kushika ukuta hapa mahakamani tuone Kama Ni vibaya.

Police akashika ukuta.

Hakimu😛olice ameshika ukuta na hakuna Baya limetokea, mshitakiwa Yuko huru.
Ahahaaaaa...! Polisi kushikishwa ukuta.
Wakili Kibatala;- Mheshimiwa hakimu naomba polisi atusaidie kushika ukuta tuone kama ni vibaya.
 
Hii Stori ukiangalia kwa umakini ni kuwapa Onyo wanaume WA Israel wasioe makabila mengine... Ni pure Ubaguzi.
... ni sahihi kabisa wala hujakosea! Kwa maana makabila mengine wangewageuza Israel wasimwabudu Mungu wa kweli, YAHWE na kuigeukia miungu ya mataifa; wangemkufuru Mungu wa Yakobo.
 
Baada ya miaka yote hiyo kupita ndiyo unakuja kumtetea leo...
 
ile kesi ya yesu,Kuna jamaa alifungua shauri kuwashtaki serikari ya kiyahudi kwa kumuhukumu yesu,kimakosa ,sijui iliishia wapi
 
ile kesi ya yesu,Kuna jamaa alifungua shauri kuwashtaki serikari ya kiyahudi kwa kumuhukumu yesu,kimakosa ,sijui iliishia wapi
i iliondolewa Kuna shahidi muhimu hakupatikana na pia hukuwa na repoti ya daktari kwa kuwa mwili wa marehemu haukufanyiwa uchunguzi
 
KINGDOM OF PHILISTINE
Philistine Federal Investigation
(PFI)
HEAD OFFICE-Pulatin street Gaza
MOTTO:We are Giants,Power and
Conquers
ID NAME-Delilah
ID NUMBER:666
GENDER: Female
POSITION:Spy
MISSION:Caanan
We believe in god's hands
And Dagon power.

Halafu mwanaume wa kazi akaingia kichwa kichwa Kwa Hiyo killer manzi
Hahahahahaha!
Kumbe manzi alikuwa kwenye mission kali sana.
 
Bado Delila ni mtuhumiwa namba 1.

Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Mwamba umeweka sawa bin sawia
 
Kosa ni la Samson kujimwambafy kwa mbususu ya adui..kalipa!

Wamekufa Naye... ..na hapo ni alikuwa mnadhiri wa Mungu..
Hapa alifeli sana maana Delila nae alimuingiza kwenye mtego na maneno juu mara unashindwa kuniambia siri unipendae nae sam kaingia mazima
 
ile kesi ya yesu,Kuna jamaa alifungua shauri kuwashtaki serikari ya kiyahudi kwa kumuhukumu yesu,kimakosa ,sijui iliishia wapi
Ili minywa sijui ilikosa ushahidi
 
Delila hawezi kuwa mtuhumiwa wakati alikua kazini,, kazi ya kachero yeyote kunasa magaidi, samson alikua gaidi mmoja hatari sana, akiua watu ovyo ovyo tu,
Delila alikuwa undercover agent wa serikali ya wafilisti,, kipindi hicho waisrael hawakuwa na taifa lao, na waliishi katika nchi ya caanan, chini ya utawala wa wafilisti,,
Samsoni alikuwa kafanya ugaidi wa kuchoma moto mashamba ya watu, pamoja na kufanya mauaji mengi ili ajipatie magovi kwa ajili ya kulipia mahari au betting kama sikosei
Duh sasa ahadi ya Mungu kuwakomboa kutoka misri utumwani kwenda nchi ya ahadi yenye maziwa na asali Kanani ina maana gani kama waliishia kuwa watumwa chini ya wafilisti.?
 
Back
Top Bottom