Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kweli Delila anakabiliwa na mashtaka mengi sana ila nae atawashitaki kwa kumsingizia kuwa alimunyoa Samsoni.Bado Delila ni mtuhumiwa namba 1.
Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Alifanya hivyo rejea hapa;Mkuu namba 4 hakuna uhakika kama alifanya hivyo.
Delila anakabiliwa na mashtaka mengi sana ila sema dunia imeaminishwa uongo kuwa Delila alimunyoa Samsoni kitu ambacho si kweli ila Delila alishiliki kumnyoa.Akawaambia akinyolewa nywele nguvu zote zitakwisha (anashiriki hapo). Delila atabaki kuwa mtuhumiwa namba moja ksbb pekee ndie alieuza siri ya nguvu za Samson kuwa kwenye nywele. Akamlewesha na kilevi ili alale na anyolewe (dhamira ovu ya Delila ikatimia)
Delila hana kosa kabisa. Yeye alikuwa AFISA MPELELEZI AKA AFISA KIPENYO WA WAFILISTI. KUMBUKA WAFILISTI WALIKUWA WANAPIGANA NA HAO WATOTO WA ISRAEL KITAMBO SO ZILIKUWA JAMII ADUI. SO DELILA ALITUMWA YEYE KAMA JASUSI ALIYEKAMILIKA KUMALIZA KAZI ILIYOWASHINDA WENGI. Kosa ni la Samson kumuamini Beibe wa upande wa adui eti akupende mazima. Hawa wa hapa bongo tu wote wa tz na kabila moja na wanatutenda sembuse huyo adui wa kifilisti. Muacheni Delila na ntafungua kesi mahakamani kwa wote waliomzalilishasawa ila kuna mazingira ya kumuuza samson.
Delila hawezi kuwa mtuhumiwa wakati alikua kazini,, kazi ya kachero yeyote kunasa magaidi, samson alikua gaidi mmoja hatari sana, akiua watu ovyo ovyo tu,Bado Delila ni mtuhumiwa namba 1.
Mashtaka ya Delila:
1.Kula njama za kumnyoa Samson
2.Kumlewesha Samson kwa nia ovu ya kumnyoa nywele zake.
3.Kushiriki kumnyoa samson.
4.Kutakatisha pesa(pesa alizolipwa baada kutekeleza huu uhalifu)
5.Uhujumu uchumi
Hata ss tulikuwa hvy zamani.... Tunashare culture moja kabisa na hawa jamaaHii Stori ukiangalia kwa umakini ni kuwapa Onyo wanaume WA Israel wasioe makabila mengine... Ni pure Ubaguzi.
Ila pia na yeye alipokea rushwa hapo atabaki kuwa na makosa.Delila hana kosa kabisa. Yeye alikuwa AFISA MPELELEZI AKA AFISA KIPENYO WA WAFILISTI. KUMBUKA WAFILISTI WALIKUWA WANAPIGANA NA HAO WATOTO WA ISRAEL KITAMBO SO ZILIKUWA JAMII ADUI. SO DELILA ALITUMWA YEYE KAMA JASUSI ALIYEKAMILIKA KUMALIZA KAZI ILIYOWASHINDA WENGI. Kosa ni la Samson kumuamini Beibe wa upande wa adui eti akupende mazima. Hawa wa hapa bongo tu wote wa tz na kabila moja na wanatutenda sembuse huyo adui wa kifilisti. Muacheni Delila na ntafungua kesi mahakamani kwa wote waliomzalilisha
Kwa nini Delila alipokea rushwa ili kuifanya kazi hiyo?Delila hawezi kuwa mtuhumiwa wakati alikua kazini,, kazi ya kachero yeyote kunasa magaidi, samson alikua gaidi mmoja hatari sana, akiua watu ovyo ovyo tu,
Delila alikuwa undercover agent wa serikali ya wafilisti,, kipindi hicho waisrael hawakuwa na taifa lao, na waliishi katika nchi ya caanan, chini ya utawala wa wafilisti,,
Samsoni alikuwa kafanya ugaidi wa kuchoma moto mashamba ya watu, pamoja na kufanya mauaji mengi ili ajipatie magovi kwa ajili ya kulipia mahari au betting kama sikosei
Sipo sahihi.Pole uliyechukulia jambo serious sana.Unajiona upo sahihi
Bila shaka hii siri samsoni aliitoa wakiwa kitandaniSamsoni aliingia mtegoni zaidi ya mara 3 Delila akiwa anamuandalia mazingira ya kumuweza vyema.
Mwisho wa Siku Samsoni akaisema siri yake na Delila kufanya yake.