Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ungekaa miaka miwili tu usingekuwa na hamu tenaDuh! Asante Mkuu. Nimewahi kukaa miezi 2 kasoro kumbe nilijidanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekaa miaka miwili tu usingekuwa na hamu tenaDuh! Asante Mkuu. Nimewahi kukaa miezi 2 kasoro kumbe nilijidanganya.
Acha kumtisha! Mimi nasali pale AnglicanUngekaa miaka miwili tu usingekuwa na hamu tena
Yeye anaamini ni watakatifu.Acha kumtisha! Mimi nasali pale Anglican
Ushauri wako na niliyoyashuhidia Kwa Mbalawa na mwingine mmoja hapa jirani yangu inatosha.Ungekaa miaka miwili tu usingekuwa na hamu tena
Kweli kabisa Mimi niliwaamini Sana hawa jamaa kwamba hawana makandokando, lakini hili la safari hii!!!? Kweli mchawi mpe mwana.Yeye anaamini ni watakatifu.
Hahahahaha 🤣Yeye anaamini ni watakatifu.
HahahahahaKweli kabisa Mimi niliwaamini Sana hawa jamaa kwamba hawana makandokando, lakini hili la safari hii!!!? Kweli mchawi mpe mwana.
Nyamaza kabisa. CCM ni chama cha waadilifu, wachapa kazi na wazalendo!CCM ni majizi tu
Umesahau kwao kulawitiana kesi zinamalizwa kifamilia,pia bikra kule zipo mbele tuKabla ya Mkataba huu niliamini Wazanzibar wote ni wacha Mungu na Wana hofu ya Allah, kumbe Nilikuwa najidanganya. Wapo waongo, Wanafiki, Wazandiki na hata Wazushi.
Do you real hate uongo than I do?????UONGO, UONGO UONGO wa serikali yangu ,I hate UONGO
Wacha weeeeeeNyamaza kabisa. CCM ni chama cha waadilifu, wachapa kazi na wazalendo!
Hizo picha ni photoshop za wapinzani wali edit ili kutuchafua, uzuri mchezo wote watanzania wanaujua. CCM ya Dkt Samia ni imara zaidi na imejaa uzalendo na uadilifu!Wacha weeeeeeView attachment 2688723
Hizo picha ni photoshop za wapinzani wali edit ili kutuchafua, uzuri mchezo wote watanzania wanaujua. CCM ya Dkt Samia ni imara zaidi na imejaa uzalendo na uadilifu!
SubutuuAmetaja gazeti? Hawa wanaona hatuna akili kama CCM