ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hizi ni taarifa za Siri za walialika hiyo tender,nenda Wizara ya ujenzi na ppra utapataUshaidi wa hiyo shortlist!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni taarifa za Siri za walialika hiyo tender,nenda Wizara ya ujenzi na ppra utapataUshaidi wa hiyo shortlist!?
Wahuni tuu,wameamua kutukomoa.Kabla ya Mkataba huu niliamini Wazanzibar wote ni wacha Mungu na Wana hofu ya Allah, kumbe Nilikuwa najidanganya. Wapo waongo, Wanafiki, Wazandiki na hata Wazushi.
Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo public
We umeziona hiyo shortlist!?Hizi ni taarifa za Siri za walialika hiyo tender,nenda Wizara ya ujenzi na ppra utapata
Bila hata kuziona naifahamu aina mbalimbali za procedures za kupata watoa Huduma au wakandarasi maana Huwa tunafanya sana kwenye taasisi yetuWe umeziona hiyo shortlist!?
Jamaa ana kitu asipuuzwe.Kabla ya Mkataba huu niliamini Wazanzibar wote ni wacha Mungu na Wana hofu ya Allah, kumbe Nilikuwa najidanganya. Wapo waongo, Wanafiki, Wazandiki na hata Wazushi.
Ndio nini Sasa hii
Huna ulijualoBila hata kuziona naifahamu aina mbalimbali za procedures za kupata watoa Huduma au wakandarasi maana Huwa tunafanya sana kwenye taasisi yetu
Atutajie makampuni hayo aliyoyatumia na tenda ilitangazwa lini.
Nakushauri kaa kimya wewe hujui lolote, hizi mada ni watoto wa kiume sio wa kike!Huna ulijualo
Mbarawa avuliwe Uwaziri haraka
Na kweli watoto wa kike kama wewe hizi mada hazikufai, zinatufaa watoto wa kiume Kama mimiNakushauri kaa kimya wewe hujui lolote, hizi mada ni watoto wa kiume sio wa kike!
Bibi umechoka tayari.haya , kwaheri.
Hahahahahah eti Hadi wewe Mkuu!Hadi wewe mkuu duh
Acha fixHizi ni taarifa za Siri za walialika hiyo tender,nenda Wizara ya ujenzi na ppra utapata
Mbarawa Ni tapeli Kama matapeli wengine tu ,mbaya Zaid Ni wale upande wa piliWaswahili wanasema, Kwa enzi hizi, Muogope MUNGU na Teknolojia. Naomba msome kipende AView attachment 2687881
View attachment 2687882
Ndivyo ilivyoKabla ya Mkataba huu niliamini Wazanzibar wote ni wacha Mungu na Wana hofu ya Allah, kumbe Nilikuwa najidanganya. Wapo waongo, Wanafiki, Wazandiki na hata Wazushi.