Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Ushahidi huu hapa, hakukuwa na Tender kama Waziri Mbarawa alivyosema leo

Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo public
1689396945791.png
 
Watanzania si wajinga ,waTZ enzi za nyerere si wasasa ,ukitaka kuongea na waTZ wasasa inabidi ujipange ,ukileta uongo uongo utaambiwa ukweli........Rushwa ya Mwarabu inabidi muirudishe au mbadili vipengere vibovu kwenye mkataba ,IGA ndiyo kila kitu kama mkipuyanga kwenye IGA hata huko kwenye HGA hamtoboi.
 
Huu mkataba umajaa ufisadi mkubwa mno na muasisi wake ni rost tamu ambae ameungana na wanasiasa wakubwa nchi hii kuanda mradi wa kulisha matumbo yao kupitia DPW.
Rosti tamu ambae ameiingiza Tz ktk mikataba na miradi michafu sana akishirikiana na mstaafu mmoja anaeabudu ufisadi na wizi siku zote!
Wa Tz tupinge kwa nguvu zote huu uchafu wa hiki kikundi cha CCM ambao siku zote ufisadi ni hulka yao!
 
Huyu Mbarawa pana muda wanamwita Prof ila ukisikiliza anavyoongea bora nimsikilize mtoto wangu chalii Tenda za Serikali hazipo kwenye gazeti lolote wakati passport tuu ukipoteza kuomba nyingine unaambiwa Tangazo liwepo kwenye gazeti na uje na kipande cha hilo chapisho litangazwe mwezi mzima wao kuuza Bandari wanaunga unga maneno...
 
Back
Top Bottom