Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Faiza achana nao wanaoleta udiniMtaweweseka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faiza achana nao wanaoleta udiniMtaweweseka sana.
Hivi hawa washenz dhamira yao ilikuwa mkataba usijulikane!Kassim na Mbarawa Kila Mmoja na lake!!!
Aliyevujisha mkataba, apongezwe kwakweli.
Jana wengi tuliingia mkenge kuamini alichosema Waziri na timu ya serikali.Waswahili wanasema, Kwa enzi hizi, Muogope MUNGU na Teknolojia. Naomba msome kipende AView attachment 2687881
Sisi tunaompenda kwa kumkosoa na kumshauri wametuundia sheria kali sana sanaHawa jamaa safari hii wameingia cha kike. Kila uongo wao unapanguliwa na ushahidi wa kuwasuta kabisa.
Bibi kajazwa akajazika mwisho wa siku jumba bovu litamuangukia yeye mwenyewe
Pre qualification bid unaijua?Waswahili wanasema, Kwa enzi hizi, Muogope MUNGU na Teknolojia. Naomba msome kipende AView attachment 2687881
Aliyevujisha ana thawabu yake peponiKassim na Mbarawa Kila Mmoja na lake!!!
Aliyevujisha mkataba, apongezwe kwakweli.
Lugha zote zimekwama.Pre qualification bid unaijua?
CC FaizaFoxyWaswahili wanasema, Kwa enzi hizi, Muogope MUNGU na Teknolojia. Naomba msome kipende AView attachment 2687881
Unachokitetea hukijuiHakuna unachokijua sioni hoja yako ,ulitaka kwamba hao DP world wa aknowledge competitors wao kweny hayo makubaliano ?
we ndo hujui huyo professor wako anachambua matumizi ya "may" " will " na "shall".Unachokitetea hukijui
Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo publicLugha zote zimekwama.
Pre qualification kwa tangazo gani la tender?
Na usisahau kuwa huo mkataba kuja kwa wananchi ni kwa njia ya KUVUJA. Haukuletwa rasmi kwamba uwafikie wananchi ili nao watoe maoni yao.Hayo makampuni Atayatoa wapi Mkuu. Ukitaka kujua Ni hujuma na rushwa za kitoto.
Kwanini hili swala limeibuka mwaka huu wakati walisaini toka mwaka Jana mwezi wa kumi na ikifika wa kumi mwaka huu Ni mwaka? Kimya Cha karibu miezi 6 kilikuwa Chanini Kama walichokifanya Ni sahihi na Ni haki?.
Nielimishe kwa facts.Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo public
Profesa mlaghai.
Hadi wewe mkuu duhProfesa mlaghai.
Ushaidi wa hiyo shortlist!?Shortlist yaani unaalika wachache walete quatatio bila kuweka tangazo public
Na wako upande wa Ibilisi na wanakula naye na kucheka nayeKabla ya Mkataba huu niliamini Wazanzibar wote ni wacha Mungu na Wana hofu ya Allah, kumbe Nilikuwa najidanganya. Wapo waongo, Wanafiki, Wazandiki na hata Wazushi.