Ushahidi: Maisha tena baada ya kifo

Ushahidi: Maisha tena baada ya kifo

Majini yote ni maovu hakuna jini jema!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Hapana. Majinni ni viumbe vilivyo na matamanio kama binaadam, wako waovu na wako ambao si waovu.

Ni majinni siyo "majini", "majini" inamaanisha kwenye maji.
 
Ctaki kuamin kama mpaka leo watu wana akili kama ya huyu mtoa maada. Uwo wote ni woga wa hukumu tu.
 
binafsi naamini haya mambo yapo yamefichwa na aliyetuumba ili tuyatafute wenyewe na tukishayajua ndo tunaona how amazing our Creator is.
 
hapo ndo sijajua kwamba je nilijuaje taarifa zote hizo wakat hiyo ajali ndo kwanza nilikuwa naiona

Na je kama kuna doughty ulisha wah kuishi...... Vp.... Mazngira yalkuwa hayo hayo na tangu miaka hiyo dunia haijabadilika.? Au ndo kila kitu kilikuwepo?
 
Hii kitu inafichwa sana sijui kwa faida ya nani. Binadamu ameumbwa ili kuishi milele. Ukifa unazaliwa tena.

1. Kuna ushahidi India mwanafunzi aliyekufa kwa ajali ya pikipiki kazaliwa tena ana kumbukumbu ya sehemu aliyoishi.

2. Kuna mcheza sinema wa marekani pia ameshangaza ulimwengu kwa kuwa na kumbukumbu sahihi za maisha yake yaliyopita.

Ndugu msomaji hata mie kumbukumbu hizo ninazo bila shaka kabisa.

Funga kazi ni Anthony Cicoria Huyu bwana alipigwa na radi, na alipoteza uhai wake kwa muda. kwamba aliuona mwili wake ''live'' ukiwa umelala chini na yeye katika hali ya mwili mwingine usio onekana anajiona kasimama pembeni. Baada ya muda aliamua kujaribu kurudi tena katika mwili wake na akafanikiwa. Baada ya siku mbili akasikia sauti ya piano music laini ukamvutia na kuamsha kitu fulani ndani yake kilichopelekea kutafuta piano na kuanza kupiga bila hata ya kufundishwa na mtu yeyote.

Ndugu msomaji zingatia hakuna kifaa kigumu cha muziki kushinda piano. Bwana Tony haya mambo yalimsibu akiwa na umri wa miaka 42. Katika kufanya utafiti wanasayansi wanazidi kugundua vitu vya kuogofya kwamba huyu jamaa kabla ya kuja kwenye ulimwengu huu alikuwa ni mtaalam mzuri wa Piano ndio sababu kwa sasa anaweza kupiga na kuandika note vizuri kiasi kwamba anafanya maonyesho makubwa makubwa.

Cha ajabu zaidi ni uwezo wa kuandika note kila anapolala usiku huamka na kuanza kuandika note zinazomjia kichwani.

Je? wewe hii unaionaje?

Je kama unapo kumbuka mazngira flan angal hukuwah kufika awali hapo unaanza kuamin hiyo theory kwamba ulisha wah kuishi before..... Je mazingira hayakubadilika kulingana na muda au na mazingira yalkuwepo ila yanajirudia tu?
 
Haya ni maneno ya waogopoa kukutaba na mola wao,na si kwa sababu nyingine bali wanaogopa kukutana na waliyoyatanguliza kwa mikono yao.
Hii kitu inafichwa sana sijui kwa faida ya nani. Binadamu ameumbwa ili kuishi milele. Ukifa unazaliwa tena.

1. Kuna ushahidi India mwanafunzi aliyekufa kwa ajali ya pikipiki kazaliwa tena ana kumbukumbu ya sehemu aliyoishi.

2. Kuna mcheza sinema wa marekani pia ameshangaza ulimwengu kwa kuwa na kumbukumbu sahihi za maisha yake yaliyopita.

Ndugu msomaji hata mie kumbukumbu hizo ninazo bila shaka kabisa.

Funga kazi ni Anthony Cicoria Huyu bwana alipigwa na radi, na alipoteza uhai wake kwa muda. kwamba aliuona mwili wake ''live'' ukiwa umelala chini na yeye katika hali ya mwili mwingine usio onekana anajiona kasimama pembeni. Baada ya muda aliamua kujaribu kurudi tena katika mwili wake na akafanikiwa. Baada ya siku mbili akasikia sauti ya piano music laini ukamvutia na kuamsha kitu fulani ndani yake kilichopelekea kutafuta piano na kuanza kupiga bila hata ya kufundishwa na mtu yeyote.

Ndugu msomaji zingatia hakuna kifaa kigumu cha muziki kushinda piano. Bwana Tony haya mambo yalimsibu akiwa na umri wa miaka 42. Katika kufanya utafiti wanasayansi wanazidi kugundua vitu vya kuogofya kwamba huyu jamaa kabla ya kuja kwenye ulimwengu huu alikuwa ni mtaalam mzuri wa Piano ndio sababu kwa sasa anaweza kupiga na kuandika note vizuri kiasi kwamba anafanya maonyesho makubwa makubwa.

Cha ajabu zaidi ni uwezo wa kuandika note kila anapolala usiku huamka na kuanza kuandika note zinazomjia kichwani.

Je? wewe hii unaionaje?
 
Na je kama kuna doughty ulisha wah kuishi...... Vp.... Mazngira yalkuwa hayo hayo na tangu miaka hiyo dunia haijabadilika.? Au ndo kila kitu kilikuwepo?

kiukweli mimi napata flashbacks tu pale napopita mazingira yanayofanania na tukio husika ila sikumbuki kwa mimi nilikuwa vp
 
Mkuu siwezi kukuamini moja kwa moja japokuwa mimi huwa kinanikutaga kitu kimoja ambacho huwa kinanishangazaga sana....

Ni kwamba kuna locations na mahali flaniflani ambapo huwa nilisha zionaga au kujihisi niliwahi kuwa mahali hapo lakini ukweli ni kwamba huwa sikuwahi kufika maeneo hayo.

Sasa inapotokea nafika na kufanya kitendo flani ambacho nilishawahi kukifanya huwa nakumbuka nilisha wahi kufika mahali hapo na kufanya kitendo hicho japokuwa inakuwa sio kweli.

Maswali ambayo najiulizaga huwa naziotaga hizo sehemu ndipo nafika? lakini ukweli ni kwamba si ndoto yanakuwa kama maono flani ivi...Huwa naishia kuhamaki tu!

Naked truth. It happens to me too.. What is it??
 
dunian hakuna loho inayopotea ukifa roho inaamia kitu kingine kama ulikuwa mkali na katil ndio hao simba roho mbaya nyoka wivu sana mbwa myenyekevu paka.
 
hivi vitabu vya zamani viaharibu sana akili za watu.
zamani inaanzia wapi?
Je? Wajua maandiko yaliyoandikwa miaka 700 yalikuja kuthibitika tena miaka 700?
Tena bila shaka yeyote? Na jee? Hii nayo ni zamani? Tilia mkazo kwa uzi huu juu ya anthony cicoria(kama ref.)
 
Mfano mzuri ni kuwa: Ukiwa unaota ndoto maisha yako ya sasa unayaona kama yalikuwa ni ndoto na maisha ya ndoto ni ya kweli. Ukiwa kwenye ndoto unaexperince reality sawa na hii unayoexperience hivi sasa. Ukiamka kwenye ndoto unashangaa ni jinsi gani ulivyoweza kuamini kwenye ndoto kuwa yale ndio yalikuwa maisha yako na haya maisha yalikuwa ni ndoto. So what is reality???????


Ukifa unazaliwa tena au Reincarnation haina maana ya kuwa ukifa unazaliwa tena papo hapo, hapana. Ina maana ya kuwa unaweza ukazaliwa katika form mpya ya uhai kulingana na thoughts zako za sasa au unaweza kubakia katika formless, matendo yako ya sasa, na speech zako za sasa. Lengo la maisha ni kujitambua, na kama hautajitambua utaendelea kuzunguka katika mduara wa maisha milele na milele mpaka utakapojitambua na kujiweka huru katika kufa na kuzaliwa. Ndio maana wazee wa kale walisema hukumu ni hapahapa duniani na kama sio katika maisha haya basi katika maisha yajayo utapata unachostahili. Lengo la maisha ni kusonga mbele katika kujifahamu na kujiweka katika njia kuu inayopaswa.

Pia ukifa sio lazima uzaliwe tena, kuna kipindi cha muda ambacho kinakwepo baada ya kufa na kabla ya kuzaliwa tena. Kipindi hicho kinategemeana pia na maisha yako ulijitumikia vipi.

Mfano mzuri ni majini ambayo wengi wanayaona. Kwa kifupi majini yaliwahi kuwa mwanadamu kama wewe, na wengine walikuwa ni wanadamu ambao walijishikilia katika tamaa za mwili na siku wakiiacha miili yao baada ya kifo wanashindwa kuondoka kwani wanashikiliwa na miili yao na hawana jinsi tena ya kujiondoa. Mwishowe wanazunguka kaburi lao na ndio panakuwa maisha yao, halafu baada ya kipindi fulani cha muda kupita kutegemeana na Karma yao wanazaliwa upya katika form nyingine na kuendelea na gurudumu la maisha.

Mwanadamu peke yaken ndio mwenye free will. Mwanadamu ndiye mwenye uwezo wa kubadili maisha yake kwa sasa na kujitambua. Unaweza kujitambua ukiwa mwanadamu tu na sio form nyingine ya life. Only human beings have the power to rule wakijifahamu kwanza.

Pia ukizaliwa tena ua ukianza life jipya huwezi kukumbuka life lako la zamani lakini kwa kutumia instincts, kujichunguza, unaweza kugundua kuwa ulishawahi kuexperience life fulani ambalo hivi sasa haupo nalo.
 
Mi Kuna sehemu Hua inanijia kichwani na huiota lakin sijawah fika,lakin hiyo ndoto hujirudiaa nipo hiyo sehemu ya kizamanii ,kwa hiyo nami nishawah kufa au???
 
Mi Kuna sehemu Hua inanijia kichwani na huiota lakin sijawah fika,lakin hiyo ndoto hujirudiaa nipo hiyo sehemu ya kizamanii ,kwa hiyo nami nishawah kufa au???


😂😅 ahhahhhhha asee
 
Back
Top Bottom