Ushahidi: Maisha tena baada ya kifo

Ushahidi: Maisha tena baada ya kifo

dunian hakuna loho inayopotea ukifa roho inaamia kitu kingine kama ulikuwa mkali na katil ndio hao simba roho mbaya nyoka wivu sana mbwa myenyekevu paka.

Sasa wewe ndo umetudanganya kabisaaaa Roho ihamie kwenye vitu tena!!!!,Mafundisho ya imani gani hayo???
 
Better-not-trespass.png
 
Mkuu siwezi kukuamini moja kwa moja japokuwa mimi huwa kinanikutaga kitu kimoja ambacho huwa kinanishangazaga sana....

Ni kwamba kuna locations na mahali flaniflani ambapo huwa nilisha zionaga au kujihisi niliwahi kuwa mahali hapo lakini ukweli ni kwamba huwa sikuwahi kufika maeneo hayo.

Sasa inapotokea nafika na kufanya kitendo flani ambacho nilishawahi kukifanya huwa nakumbuka nilisha wahi kufika mahali hapo na kufanya kitendo hicho japokuwa inakuwa sio kweli.

Maswali ambayo najiulizaga huwa naziotaga hizo sehemu ndipo nafika? lakini ukweli ni kwamba si ndoto yanakuwa kama maono flani ivi...Huwa naishia kuhamaki tu!

hii kitu hata kwangu hiwa inanitokea
 
Kuna mama mmoja kijijini kwetu aliugua kwa kipindi kifupi akafariki, ni miaka karibia 20 sasa, huyu mama baada ya kufa kwa kipindi hicho hakukuwa na utaratibu wa kuhifadhi mwili mochwari, mwili wake ulihifadhiwa chumbani kwa siku 2-3 kusubiri ndugu na jama, siku ya pili baadhi ya ndugu walikuwa wamefika na taratibu za mazishi zikawa zinaendelea ili azikwe siku inayofuata ambayo ni siku ya 3, jioni kuele siku ya tatu alipiga chafya, wamama waliokuwa chumbani wakilinda mwili walitahamaki, bibi mmoja nae yupo mpaka leo akawaambia yeyote asikimbie wala kusema neno, mama aliekuwa amefariki akainuka na kukaa kisha akaomba maji ya kunywa, yule bibi akakataza asipewe kwanza, baada ya kuwa ktk hali fulani ndipo akapewa maji kidogo, baada ya kunywa na kutulia ndipo wakamhoji, akasema alijikuta ameelekea nyumba moja iliojengwa kwa asili ya zamani ya wachaga (msonge) nyumba ya duara iliyoezekwa kwa majani ya migomba, hapo aliwakuta wenyeji wake ambao ni watu anaowafahamu na walishakufa muda mrefu mwanaume na wanawake, wakwanza kumkuta alikuwa mwanamke aliemsimamia pindi alipofanyiwa tohara, alimkuta anafagia uwanja (mazingira ya nyumba) alipobisha hodi alimwitikia na kumuuliza amefuata nini, akamwambia nina njaa sana nipeni kwanza chakula ndipo nitawaambia nilipotoka, watu waliokuwa ndani wakitoka na vyakula, pombe ya mbege, viazi vilivyochemshwa na maziwa mgando wakawa wanampa lakini yule mama aliemsimamia wakati wa tohara akawa anakataa wasimpe hata wakataka kugombana, anaekatazwa kula anamlalamikia kwanini anakataa asipewe chakula ilhali ana njaa na wale wenye vyakula wanapambana kumpa, alipofanikiwa kumzuia kula chochote akamwambia rudi na njia uliokujanayo na usipitie popote, anasema aliondoka kwa hasira ya njaa na akatembea kwa muda mrefu ndipo akajipata yupo pale chumbani amezungukwa na wamama. Hapo ndipo akaambiwa ulikuwa umekufa na ndugu zako wote wameshafika kesho ulikuwa uzimwe. Ni kweli kila kitu kilikuwa kimekamilika kwaajili ya mazishi. Huyu mama yupo na bibi aliekataza watu pale chumbani wasikimbie pia yupo. Sasa huu uzi na hichi nilichokieleza vinanichanganya. Tuwaze pamoja.
 
kiukweli mimi napata flashbacks tu pale napopita mazingira yanayofanania na tukio husika ila sikumbuki kwa mimi nilikuwa vp

Uongo gani huu! Ina maana roho yako inarudi hapo hapo? kama ni tz itarud tz? Huwezi zaliwa ulaya? Au asia? Very open lie
 
nijuavyo mimi mtu huenda motoni au peponi .kama akienda motoni atazaliwa vip wakati moto wanasemaga ni wamilele .kwa hyo kama wa motoni wanatokaje na wapeponi je !Inakuaje ama wanaachiwa
 
Hii kitu inafichwa sana sijui kwa faida ya nani. Binadamu ameumbwa ili kuishi milele. Ukifa unazaliwa tena.

1. Kuna ushahidi India mwanafunzi aliyekufa kwa ajali ya pikipiki kazaliwa tena ana kumbukumbu ya sehemu aliyoishi.

2. Kuna mcheza sinema wa marekani pia ameshangaza ulimwengu kwa kuwa na kumbukumbu sahihi za maisha yake yaliyopita.

Ndugu msomaji hata mie kumbukumbu hizo ninazo bila shaka kabisa.

Funga kazi ni Anthony Cicoria Huyu bwana alipigwa na radi, na alipoteza uhai wake kwa muda. kwamba aliuona mwili wake ''live'' ukiwa umelala chini na yeye katika hali ya mwili mwingine usio onekana anajiona kasimama pembeni. Baada ya muda aliamua kujaribu kurudi tena katika mwili wake na akafanikiwa. Baada ya siku mbili akasikia sauti ya piano music laini ukamvutia na kuamsha kitu fulani ndani yake kilichopelekea

nijuavyo mimi mtu huenda motoni au peponi .kama akienda motoni atazaliwa vip wakati moto wanasemaga ni wamilele akitoka motoni anakuaje!


siku ya moto na pepo bado, nafsi itazunguka katika miili tofauti mpaka siku ya hukumu..ipo...kama una chance waweza jiandaaa
 
Hii habari imenivutia sana hasa ukizingatia jinsi ambavyo sipendi kufa

Asante kwako ulieuleta uzi huu
 
1. Introduction to the purpose of life
Every now and again, we hear the clichéd question, ‘What is the meaning of life?' or ‘What is the purpose of life?' or ‘Why are we born?'. In most cases, we have our own agenda on what our purpose in life is. However from a spiritual perspective, there are two generic reasons why we are born. These reasons define the purpose of our lives at the most basic level. They are:

  • To complete the give-and-take account we have with various people.
  • To make spiritual progress with the final aim of merging into God and therefore getting out of the cycle of birth and death.
2. Completing our give-and-take account
Over many lifetimes, we accumulate many give-and-take accounts that are a direct result of our deeds and actions. The accounts may be positive or negative depending on the positive or negative nature of our actions. As a rule of thumb, in the current era approximately 65% of our lives are destined (not within our control) and 35% of our lives are governed by our own freewill. All major events in our life are by and large destined. These events include our birth, the family we are born into, the person (or persons) we marry, the children we have, serious illnesses and the time of our death. The happiness and pain that we give and receive from loved ones and acquaintances are by and large simply a case of prior give-and-take accounts directing the way relationships unravel and play out.


However even our destiny in the current lifetime is just a fraction of the accumulated give-and take account that we amass over many lifetimes.
In our lifetime, while we do complete our give-and-take account and destiny earmarked for this particular lifetime of ours, we also end up creating more accounts by using our wilful action. This in turn finally adds up to our overall give-and-take account known as the accumulated account. As a result, we have to be born again to settle further give-and-take accounts and are stuck in the cycle of birth and death.

Copied and paste
 
good hii inaleta faraja. ila ukweli ndo tutajua mbele kwa mbele. kwasasa tuendelee kujifariji tu.
 
Hii kitu inafichwa sana sijui kwa faida ya nani. Binadamu ameumbwa ili kuishi milele. Ukifa unazaliwa tena.

1. Kuna ushahidi India mwanafunzi aliyekufa kwa ajali ya pikipiki kazaliwa tena ana kumbukumbu ya sehemu aliyoishi.

2. Kuna mcheza sinema wa marekani pia ameshangaza ulimwengu kwa kuwa na kumbukumbu sahihi za maisha yake yaliyopita.

Ndugu msomaji hata mie kumbukumbu hizo ninazo bila shaka kabisa.

Funga kazi ni Anthony Cicoria Huyu bwana alipigwa na radi, na alipoteza uhai wake kwa muda. kwamba aliuona mwili wake ''live'' ukiwa umelala chini na yeye katika hali ya mwili mwingine usio onekana anajiona kasimama pembeni. Baada ya muda aliamua kujaribu kurudi tena katika mwili wake na akafanikiwa. Baada ya siku mbili akasikia sauti ya piano music laini ukamvutia na kuamsha kitu fulani ndani yake kilichopelekea kutafuta piano na kuanza kupiga bila hata ya kufundishwa na mtu yeyote.

Ndugu msomaji zingatia hakuna kifaa kigumu cha muziki kushinda piano. Bwana Tony haya mambo yalimsibu akiwa na umri wa miaka 42. Katika kufanya utafiti wanasayansi wanazidi kugundua vitu vya kuogofya kwamba huyu jamaa kabla ya kuja kwenye ulimwengu huu alikuwa ni mtaalam mzuri wa Piano ndio sababu kwa sasa anaweza kupiga na kuandika note vizuri kiasi kwamba anafanya maonyesho makubwa makubwa.

Cha ajabu zaidi ni uwezo wa kuandika note kila anapolala usiku huamka na kuanza kuandika note zinazomjia kichwani.

Je? wewe hii unaionaje?

mbona mimi hakuna nnachokumbuka au mimi ina maana sikuwahi kuishi miaka iliyopita......!!!
 
Back
Top Bottom