Ushahidi unaoonesha jinsi Kombora lililorushwa na Hamas lilivyoshindwa kuendelea na safari likatua Hospitalini na kuua mamia

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Mji wa Gaza unarekodiwa masaa 24, kwenye mida ya 18:59 live footage ilionyesha Hamas wameanza kurusha Makombora kuelekea Israel lakini moja ya kombora likapata hitilafu (misfire) likadondoka kwa kishindo kwenye Hospitali ya Al-Mamamani na kusababisha mlipuko, Baada ya dakika 11 (19:10) Hamas wakatangaza kwamba Israel ndio imelipua hospitali,

Al Jazeera ambao wapo mstari wa mbela kuwasagia kunguni Israel walikuwa Live muda wa tukio kuonyesha hali ya Gaza lakini walipoona hospitali imelipuka wakahamia studio fasta ili kuficha ukweli.

Your browser is not able to display this video.


Video kamili ambayo haijakatwa inaonyesha makombora ya ziada yaliendelea kurushwa.

Your browser is not able to display this video.


Sekunde ya 50 ya video kamili inaonyesha jengo linalowaka moto ni hospitali ya "Al-Mamamani Hospital" sifa kuu ya hii hospitali ni bati kubwa la umeme wa Sola



Hii ni Telegram ya Hamas, 19:10 waliwasingizia Israel wamelipua hospitali



Kwa ufupi ni kwamba, Kombora lililorushwa kwa dhumuni la kuua waisrael lilipata hitilafu angani na kutua upande wa waliolirusha, kukwepa lawama hii ikabidi asingiziwe Israel, na sasa wameumbuka kwamba hawachinji tu waisrael bali wanaua mpaka wenzao wagonjwa wasio na Hatia.
 
Unajiita Soldier hata hujui air strike ni nini? HAMAS wana Ndege ngapi? Ushawahi ona ndege ya Hamas ikipiga kombora popote pale?
 
 
Kwenye mji wa RAMALLAH PALESTINE kuna maandamano raia wanataka raisi wao aondoke madarakani.
Hawa wapestina nashindwa kujua kitu gani wanahitaji alafu wenyewe waandamanaji wanadai hawatarudi nyuma Hadi raisi aondoke madarakani na kuanzia kesho maandamano yataingia kwenye miji mingine ya Palestine
 
HAMAS wamelipua Makombora yakawarudia wenyewe. Wamemalizana wao kwa wao. Ogopa taifa la Mungu. Israel isisingiziwe
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Tangu nione clip ya media crew ya CNN wanatengeneza igizo huko karibu na Gaza siichukulii siriasi.

Pia kumbuka wamiliki wa hizo media niJews. Ndio maana hata youtube ukijifanya kiherehere unaiponda israel unafutiwa channel.

Kikubwa tuombe amani
 
Mimi nilifikiria umetuwekea video ya kuonyesha kombora likipiga kumbe ni mazungumzo ambayo yanaweza yakawa ya kweli ama ya uongo
Video hio hapo kama shida ni video

Your browser is not able to display this video.


Na IDF wenyewe wamekiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…