Ushahidi unaoonesha jinsi Kombora lililorushwa na Hamas lilivyoshindwa kuendelea na safari likatua Hospitalini na kuua mamia

Mkuu punguza upumbavu Hamas hana kombora lenye uwezo wa kuuwa watu 500.
Ujinga ni mzigo, huyu Hamas wenu mnasema Israel haiwezi pigana naye, mara alawahi shinda Israel katika vita.

Leo ooh Hamas hana kombora la kuua watu 500 yaani ujinga ni mzigo kwakweli🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ujinga ni mzigo, huyu Hamas wenu mnasema Israel haiwezi pigana naye, mara alawahi shinda Israel katika vita.

Leo ooh Hamas hana kombora la kuua watu 500 yaani ujinga ni mzigo kwakweli🤣🤣🤣🤣🤣
Na hapa unaona wenzako wajinga!!..nenda salon ukatengeneze nywele na kucha
 
Aisee!
 
Hao Al Jazeera ni Pro Hamas, Video nzima mbona hawajaweka tukio la airstrike

Wacha nikusaidie kukuwekea walichoficha ni niki hapa, Kombora zito lilirusha kutoka Gaza likajama na matokeo yake wapalestina wameumia na Kufa


View attachment 2784937
Wew huoni hizo ni video mbili tofauti 😁.

VIDEO YA KWANZA.

ROCKET INAENDA KUTUA SEHEM A HATUJUI NI GAZA AU ISRAELI PANATOKEA MLIPUKO MDOGO

VIDEO YA PILI.
KINATOKEA GIZA GAFRA,TUNAONA MLIPUKO MKUBWA HUKU KAMERA IKIZOOM TUKIO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…