Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiomba iyo video ya january hapo maana umetisha mdau mwezi mzima video moja tu....
Ipo vile vile mkuu, cheki hapo inaonekana ni urefu ule uke wa dk 1:37, Mtu mweusi na nweupe, style ile ile, mikono ya mwanamke ipo vile vile..hakuna kilichobadilikaMzee baba naomba nifowardie hiyo ya January, Hiyo ya November tiyari ninayo.
Una miaka mingapi ??? Hizi watanzania mnadhanigi wachungaji malaika au??? Hiyo video sio fake 100%Nataka mjiulize swali moja, kama ni video ya Gwajima kweli, kwa nini wasinge ipost moja kwa moja ikiwa yenyewe ila wameanza na kupost video ya Gwajima akijirekodi kwanza ambayo inamuonyesha sura?
Sababu ni kuwa walitaka wawajenge watu kisaikolojia kwanza kuwa Gwajima ndiye aliyejirekodi, hivyo kutuma video ya yeye akijirekodi kwanza, kisha kutuma video ya ntu anayefanana na yeye akijirekodi akila mzigo
Swali jingine ni je kwa nini video ivujishwe sasa hivi wakati ni ya zamani sana?
Nipo mzee Adebisi wa gereza la OzMzee wa boardwalk empire
Mimi naweza kufanya ionekane hivyo kwenye simu yangu[emoji41][emoji41] nina edit details za picha au videoHii ni galery ya kwenye simu yangu inaonyesha video na picha mbalimbali nilizo download kwenye simu yangu, tangia kitambo kutoka group la Whatsapp na hakuna aliyesema ni Gwajima
Hiyo video inayosemwa ni ya Gwajima nilishaiona kitambo na hakuna aliyezania ni ya Gwajima hadi sasa baada ya kuhusiswa
View attachment 1091497
naweka facts straight tu, mimi sio mlokole wala sina DiniHiyo video ingekuwa ya akajamba-nani msala ungekuwa wa kwake lakin Kwa gwajima inaonekana imetengenezwa!!!!
Kuna watu bado mnasubiri kuwaona manabii wa uwongo waliotabiriwa Kwenye Bible huku mkiwakingia kifua akina gwajima.....huyo jamaa yenu ni miongoni mwa wachungaji waongo ni tapeli tu
FanyaMimi naweza kufanya ionekane hivyo kwenye simu yangu[emoji41][emoji41] nina edit details za picha au video
Angalia hii video 2015 nilikuwa sina hii simu[emoji41]Fanya
Ha ha hapo tumesomana mkuuNipo mzee Adebisi wa gereza la Oz
[emoji41]Fanya
Naombeni video basi hiyo ma mimi nione
Naombeni video basi hiyo ma mimi nione
mzee mimi sio mfuasi wa Gwajima na wala simuamini Gwajima kama mtu mwema. Naweka tu facts mezaniUna miaka mingapi ??? Hizi watanzania mnadhanigi wachungaji malaika au??? Hiyo video sio fake 100%
Ipi ya jana au 2016Naombeni video basi hiyo ma mimi nione
No ukweli lazima ubaki kuwa ukweli mkuu,Kuna wakati ni bora mtu kukaa kimya na kesi itaisha haraka tu. Ni sawa na mtu kukasirikia jina la utani, litadumu kuliko kulikubali.
Swali lako zuri sana.. Akili kubwa ndiyo zitaelewaKwanini video za Amber Rutty na Mariam Biriani nguvu hii haikutumika?