Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Ni vema ukijikita kwenye madaNa wewe ni muongo:Huko Kanda ya ziwa wanamuelewa sana SAMIA. Nana unatafuta justification ya kukataa matokeo ya serikali za mitaa:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vema ukijikita kwenye madaNa wewe ni muongo:Huko Kanda ya ziwa wanamuelewa sana SAMIA. Nana unatafuta justification ya kukataa matokeo ya serikali za mitaa:
Tumehakikisha uzi wenu umeondolewa, Wajinga wakubwa nyie!CHADEMA imefilisika kisiasa.
What a shame 😂Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Noma mno!What a shame 😂
Swali la kijinga halijawahi kuwepo,Swali lako ni la kijinga
HayaSwali la kijinga halijawahi kuwepo,
Ila jibu la kijinga lipo!
HOJA haipigwi rungu ndugu.
Mdau amekuuliza swali lenye HOJA nzito kuwa,Haya
HayaMdau amekuuliza swali lenye HOJA nzito kuwa,
Sheria zile zile kandamizi na Sasa mlizolalamikia kuwanyanganya ushindi 2020 hakuna hata Moja iliyorekebishwa,
Badala ya kupambania kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote, tunawaambia wananchi wajiandikishe,
Sasa mkihujumiwa kwenye uchaguzi mliouingia Kwa Ishara ya kukubaliana na matokeo, mnawezaje kurudi kulalamikia hujuma endapo zitatokea?
Hana na wala hajawahi kuwa na lolote😃 Kumbe Nchimbi nae fursa tu kwa wadau.
Haya🤔Haya
Hatuna muda wa kupoteza, endeleeni kumtumikia shetaniHaya🤔
Katibu wenu katiwa dole itilima bila kujijua.wanachadema wamehamia CCM kwa hiyari, haki, uhuru na mapenzi yao..
eti ndrugu yako kamanda mtoa hoja analeta matokeo ya uchaguzi sijui ya mwaka gani huko? sasa hiyo ina uhusiano gani na hayo mamia kwa maelfu ya wanachadema walio hamia CCM?🤣
Hata sielewi ni kwa nini, lakini kazi iliyokuwa ni ya kama "kumsukumiza mlevi" (CCM) shimoni kadri siku zinavyo zidi kusogea; inakuwa kama mlevi huyo huyo kang'ang'ania mikono ya msukumaji (CHADEMA), ambaye inaelekea yeye ndiye atasukumizwa huko huko shimoni na huyu mlevi!Tunawaomba wale Mamluki wa ccm wa humu JF wapitie uzi huu
Umemjibu...,hawezi kuelewa ulicho mjibu hapa.Mkuu sasa kama CCM imeongoza miaka yote hiyo ukiwa mzima na ujapata unafuu wa maisha si bora ukae pembeni upambanie maisha nje ya vyama? Au unadhani ukienda CCM kutokea CHADEMA kuna kitu utwkibadilisha kilichomshinda mwenyekiti wao Mama Samia?