Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka mdhamini awe nani sasa wildaid au......Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo...
Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo ni EATV AWARDS zinazoandaliwa na Eatv au Channel 5.
Wadhamini wakuu wa hizi tuzo ni Vodacom na Coca Cola.. Sasa tujiulize kidogo, kuna mtu asiyejua mkataba wa diamond na Voda!?
Kila mtu anajua... Na je diamond na cocacola!?
Inajulikana wazi kuwa coca na vodacom mtu wao wanayemtumia kwa matangazo ni diamond..
Sasa hapa ali kiba atapataje tuzo mbele ya diamond..!!?
Yaani makampuni haya yadhamini tuzo halafu mtu anayetangaza brand zao wamnyime wampe mpinzani wake!!!?
Haiwezekani,yaani hapa kiba asitegemee tuzo hata moja, lazima ziende tu kwa diamond..
Kama kuna mtu asubiri hizo tuzo zifanyike halafu aone matokeo yatakuaje..
Nmeongea mapeema kabla ya tuzo ila watu wasije wakasema ni maneno ya mkosaji...
Japo mi sio team kibakuli ila kwa tuzo za style hii kiba atasubiri sana kupata tuzo...
kibakuli asubiri tuzo za tanapa music award(TAMUA)Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo...
Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo ni EATV AWARDS zinazoandaliwa na Eatv au Channel 5.
Wadhamini wakuu wa hizi tuzo ni Vodacom na Coca Cola.. Sasa tujiulize kidogo, kuna mtu asiyejua mkataba wa diamond na Voda!?
Kila mtu anajua... Na je diamond na cocacola!?
Inajulikana wazi kuwa coca na vodacom mtu wao wanayemtumia kwa matangazo ni diamond..
Sasa hapa ali kiba atapataje tuzo mbele ya diamond..!!?
Yaani makampuni haya yadhamini tuzo halafu mtu anayetangaza brand zao wamnyime wampe mpinzani wake!!!?
Haiwezekani,yaani hapa kiba asitegemee tuzo hata moja, lazima ziende tu kwa diamond..
Kama kuna mtu asubiri hizo tuzo zifanyike halafu aone matokeo yatakuaje..
Nmeongea mapeema kabla ya tuzo ila watu wasije wakasema ni maneno ya mkosaji...
Japo mi sio team kibakuli ila kwa tuzo za style hii kiba atasubiri sana kupata tuzo...
Na kwa kuweka kumbukumbu sawa, hiyo unayosema wewe ni mara ya pili, mara ya kwanza ilikuwa mwaka 2010 ambapo alikuwa nominated as New Act lakini hakupata... tuzo ilienda kwa Mo'Cheddah lakini hakukata tamaa akaendelea kupigana!Give him a time,
Mpeni Muda Alikiba,
Anakuja,
Diamond aliwahi kukosa Tuzo South Afrika kwa mara ya kwanza lakini alisema kwamba Next Year we are going to get them,
Nakumbuka alishinda Davido, Tena Moja ya Mtangazaji TZ akasema she was happy for Davido to won award, Mdogomdogo mwaka uliofuata jamaa akapata Tuzo 3,
Nlisema... Mi sio mshabik wq kibaYani wewe hata Kiba hawezi kubali uwe shabiki wake.. Ni mjinga zaidi.
Nmelalamika au nmesema tuWatu walalamishi wanakera sana.
Sasa kwa nini hayo makampuni yamemchagua Diamond na si Kiba?Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo...
Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo ni EATV AWARDS zinazoandaliwa na Eatv au Channel 5.
Wadhamini wakuu wa hizi tuzo ni Vodacom na Coca Cola.. Sasa tujiulize kidogo, kuna mtu asiyejua mkataba wa diamond na Voda!?
Kila mtu anajua... Na je diamond na cocacola!?
Inajulikana wazi kuwa coca na vodacom mtu wao wanayemtumia kwa matangazo ni diamond..
Sasa hapa ali kiba atapataje tuzo mbele ya diamond..!!?
Yaani makampuni haya yadhamini tuzo halafu mtu anayetangaza brand zao wamnyime wampe mpinzani wake!!!?
Haiwezekani,yaani hapa kiba asitegemee tuzo hata moja, lazima ziende tu kwa diamond..
Kama kuna mtu asubiri hizo tuzo zifanyike halafu aone matokeo yatakuaje..
Nmeongea mapeema kabla ya tuzo ila watu wasije wakasema ni maneno ya mkosaji...
Japo mi sio team kibakuli ila kwa tuzo za style hii kiba atasubiri sana kupata tuzo...
Nyie wote ni 1/4... Kwanza nmemuongelea kiba kabisa mdau na sio mshabiki.. Ukwel ndo huo,tatzo wabongo tukisema ukwel tunaonekana wabaya... SheeeenziNenda wewe basi ukawe mdhamini ili tuzo umpe huyo Kiba! Nyie watu mbona mnaboa sana?!
ukiachana na akili ni kitu gani kingine ambacho huna?
Ulitaka mdhamini awe nani sasa wildaid au......
Na Afrimma Voda walidhamini?
Au roho ya korosho, sasa team nani au ndio dalili za kubasti
Kwani kibakuli si alisema yeye ni mkubwa kuliko tuzo?
analialia nini sasa?
kibakuli asubiri tuzo za tanapa music award(TAMUA)