Ushahidi wa wazi kuwa Ali kiba anahujumiwa kwenye tuzo

Ushahidi wa wazi kuwa Ali kiba anahujumiwa kwenye tuzo

Hivi majungu mtaacha lini lakini?


Ya kaisari atapewa kaisari

Ya kiba ayapewa kiba
 
Huyu jamaa ni jipu unataka kusema kwa vile dstv inaidhamin supersport fc kwa hoja yako hiyo ligi ya south africa ubingwa tu ungekuwa kwa supersport fc, au Hapa bongo Azam media kuwa mdhamin pia ni mmiliki wa azam fc.
 
Kura ndo kila kitu, ushindi upo kwenye kupiga kura. Kama Tunzo za EAtv zitaleta upendeleo basi zitapoteza mvuto.
 
Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo...
Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo ni EATV AWARDS zinazoandaliwa na Eatv au Channel 5.

Wadhamini wakuu wa hizi tuzo ni Vodacom na Coca Cola.. Sasa tujiulize kidogo, kuna mtu asiyejua mkataba wa diamond na Voda!?

Kila mtu anajua... Na je diamond na cocacola!?

Inajulikana wazi kuwa coca na vodacom mtu wao wanayemtumia kwa matangazo ni diamond..

Sasa hapa ali kiba atapataje tuzo mbele ya diamond..!!?

Yaani makampuni haya yadhamini tuzo halafu mtu anayetangaza brand zao wamnyime wampe mpinzani wake!!!?

Haiwezekani,yaani hapa kiba asitegemee tuzo hata moja, lazima ziende tu kwa diamond..

Kama kuna mtu asubiri hizo tuzo zifanyike halafu aone matokeo yatakuaje..
Nmeongea mapeema kabla ya tuzo ila watu wasije wakasema ni maneno ya mkosaji...

Japo mi sio team kibakuli ila kwa tuzo za style hii kiba atasubiri sana kupata tuzo...
Acha hofu wewe
 
Kwani hizi tuzo za EATV zimeanza kutolewa lini mpaka unaropoka kuwa ndo ushahidi kuwa jamaa anahujumiwa...humu jf kumbe kuna watoto wa facebook na mawazo yao kama Tom cat.
 
Nyie wote ni 1/4... Kwanza nmemuongelea kiba kabisa mdau na sio mshabiki.. Ukwel ndo huo,tatzo wabongo tukisema ukwel tunaonekana wabaya... Sheeeenzi
Hapana chizi awaye yote afahamue yeye ni chizi. Wakati akipekuwa pekuwa majalalani kutafuta chochote kitu atie tumboni; atamuona chizi yule anayekula kwa Mama Lishe... yaani yeye anayekula jalalani anadhani ndo mzima!

Kama sio chizi, nijibu swali lifuatalo: EATV wamenzisha tuzo na wewe unadai "Ushahidi wa Wazi kuwa Kiba anahujumiwa kwenye tuzo" kwa sababu tu wadhamini wa tuzo ni Vodacom & Cocacola! Kwahiyo unataka kusema Vodacom na Coca Cola wameingia kwenye hizo tuzo ili Wamhujumu Ali Kiba?
 
Hapana chizi awaye yote afahamue yeye ni chizi. Wakati akipekuwa pekuwa majalalani kutafuta chochote kitu atie tumboni; atamuona chizi yule anayekula kwa Mama Lishe... yaani yeye anayekula jalalani anadhani ndo mzima!

Kama sio chizi, nijibu swali lifuatalo: EATV wamenzisha tuzo na wewe unadai "Ushahidi wa Wazi kuwa Kiba anahujumiwa kwenye tuzo" kwa sababu tu wadhamini wa tuzo ni Vodacom & Cocacola! Kwahiyo unataka kusema Vodacom na Coca Cola wameingia kwenye hizo tuzo ili Wamhujumu Ali Kiba?
Nakujibu kama ifuatavyo...Hawajaingia ili kumhujumu kiba ila kwa kuwa mtu wao diamond yupo kwenye tuzo hawawezi kumnyima na kumpa mpinzani wake... Hiyo ndo point yangu
you stupid idiot!
 
Kwani hizi tuzo za EATV zimeanza kutolewa lini mpaka unaropoka kuwa ndo ushahidi kuwa jamaa anahujumiwa...humu jf kumbe kuna watoto wa facebook na mawazo yao kama Tom cat.
Mi nna mtoto kama wewe... stupid idiot
 
Jamii Forums siku hizi imepoteza kabisa ubora wake...Thread za kipuuzipuuzi kama hizi zingekuwa zishaondolewa!!

Mtu anaanza kupata hofu kabla hata Nominees hawajatangazwa?!

Hauna tofauti na Donald Trump wewe mpuuzi[emoji48]
 
Tuache wafanye muziki. Malalamiko kama haya hayana afya katika muziki. Hivi kama asingejitokeza mdhamini EATV wangekuwa na ubavu wa kuyaendesha hayo mashindano? By the way, Kiba anao uhuru wa kukataa au kukubali kushiriki hayo mashindano.
Na iwapo atajitoa hata kuwa wa kwanza. Nakumbuka Nigger J au Profesa J aliwahi kujiondoa kwenye mashindano ya Mkali wa Rhymes hakuna mtu aliyembugudhi. Pia JD alishajitoa kwenye tuzo, hivyo kama kuna wasiwasi wa kuhujumiwa asingoje hadi mashindano yameshika kasi ndipo ajitoe. Achukue uamuzi kungali mapema!!
 
Hivi
hance mtanashati ndio kusema wame m ban moja kwa moja ama vipi!!?
Maana hizi ndio zilikuw nyuzi zake za ku deal nazo hizi
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Sasa mbona unaomba msaada kwa hance mtanashati mkuu. Jibu tuhuma hizo kwanza wadhamini wa msanii wanaweza kumnyima msanii wao tunzo??..
Halafu ndo mambo ya hance baadae[emoji1]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Sasa mbona unaomba msaada kwa hance mtanashati mkuu. Jibu tuhuma hizo kwanza wadhamini wa msanii wanaweza kumnyima msanii wao tunzo??..
Halafu ndo mambo ya hance baadae[emoji1]
Nilijibu pale juu, ebu kachek vzuri
Si unajua mi ndo Iniesta halafu yeye Messi , hasa aspo kuwepo tim haisongi, kila nikipiga pas mfungaji hayupo
 
Nilijibu pale juu, ebu kachek vzuri
Si unajua mi ndo Iniesta halafu yeye Messi , hasa aspo kuwepo tim haisongi, kila nikipiga pas mfungaji hayupo
Iniesta na Messi pia mnabebwa kwenye tunzo na FIFA[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom