Ushahidi wa wazi kuwa Ali kiba anahujumiwa kwenye tuzo

Ushahidi wa wazi kuwa Ali kiba anahujumiwa kwenye tuzo

Alikiba bhana huchoki figisu figisu.... Haya unataka upewe tuzo kwa lipi au yale mayowe yako ya "Yaaaaah" yaliyowambwa na mdundo!?!?
 
Iniesta na Messi pia mnabebwa kwenye tunzo na FIFA[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Alafu ungejua nnavowachukia hao jamaa
Sema mfano wao na mimi na hans unafanana.
Inabid niwatumie tuu hamna namna
 
Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo...
Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo ni EATV AWARDS zinazoandaliwa na Eatv au Channel 5.

Wadhamini wakuu wa hizi tuzo ni Vodacom na Coca Cola.. Sasa tujiulize kidogo, kuna mtu asiyejua mkataba wa diamond na Voda!?

Kila mtu anajua... Na je diamond na cocacola!?

Inajulikana wazi kuwa coca na vodacom mtu wao wanayemtumia kwa matangazo ni diamond..

Sasa hapa ali kiba atapataje tuzo mbele ya diamond..!!?

Yaani makampuni haya yadhamini tuzo halafu mtu anayetangaza brand zao wamnyime wampe mpinzani wake!!!?

Haiwezekani,yaani hapa kiba asitegemee tuzo hata moja, lazima ziende tu kwa diamond..

Kama kuna mtu asubiri hizo tuzo zifanyike halafu aone matokeo yatakuaje..
Nmeongea mapeema kabla ya tuzo ila watu wasije wakasema ni maneno ya mkosaji...

Japo mi sio team kibakuli ila kwa tuzo za style hii kiba atasubiri sana kupata tuzo...
we huna akili na hoja maaandaz zako,, hata kama tuzo zingefadhiliwa na tembo bado diamond angemshinda tu kibakuli wako,, afrima nazo znasimamiwa na voda?
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Alafu ungejua nnavowachukia hao jamaa
Sema mfano wao na mimi na hans unafanana.
Inabid niwatumie tuu hamna namna
Mnafanana na hance kumkomalia msanii wetu mpaka mnamchomolea mic[emoji441]
 
Ungewatafutia wadhamini sasa mkuu kama huwataki hao voda & Coca Cola
 
Kabla ya kumchagua mond au kiba wanaangalia nani ana heat OVER
 
Nakujibu kama ifuatavyo...Hawajaingia ili kumhujumu kiba ila kwa kuwa mtu wao diamond yupo kwenye tuzo hawawezi kumnyima na kumpa mpinzani wake... Hiyo ndo point yangu
you stupid idiot!
Then you're the dumbest hick and dick sucker!
 
Sio kweli kama anahujumiwa huo ndio mchezo wenyewe ulivyo, huo ni mtego wanategewa soon waatauingia wengine wameuingia na ndio wanatumika kama chambo kuwanasa wengine na wakiweka tamaa Mbele lazima wanase.
 
Sikuwahi dhani kama diamond angekuwa a big threat kiba kwake kiasi hiki
 
Hahaha
Huko hatuhusil bro sisi huwa tunamcgana live mtu yeyote kwa kweli
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Ndo inavyotakiwa mkuu. Hapa ni Jf mambo ya kusifiana sifiana kama fb na insta huku hakuna. Unapewa makavu mpaka unajuta hurudii tena[emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom