The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Sina ushahidi , yy harmo angefuata taratibu za kudai mtoto kama ni wake, na sio kuchafua watu kwenye mediaWewe una ushahidi gani kama mtoto sio wa Harmo usihukumu wala kutoa hatia kwa mtu yeyote ikiwa wewe hu a ushahidi
Jamaa anajiona mwamba kwelikweli na kujisifuAnajiita namba 26 keshawahi kulawitiwa?
Keshawahi kukaa jela?
Hizo namba za south Africa wahuni wa south hawapeani peani hovyo.
Jamaa mramba midomo anajiita 26...
Yote hayo yanaweza kuwakumbe ndo huyuu anatembea na dem wa Mzee wa kuwachetua Morrison
sema jamaa ni boya mnooo
mwanaume hagombei mtoto kihivyo na kidume mwenziee
suluhishoo ni vipimo tuu ndo angejua wake au si wakeee
ukute kijamaa kimemtafuna kweli huyooo dem mtembea uchiii
Wanaleta u 26 kwenye jamhuri! Huo ushenzi wa 26 huko huko kwa mkaburu sio hapa town!B0B - Botion - 26 Masela Nya tu.
Boya tu huyo! Huo U 26 kwenye noti tu sikuhizi sio unafanya usela nnya mtu mzimaanajiita 26 mwenyewe
Huyu si nitonye huyu teh
Hajitambui,mama yake alimdekeza sanaBado ana usela mavi, mkino huyu hawezi kubadilika wenzake Sasa hivi tunakomaa na life mambo yanaenda . Yeye kakalia usema mavi
Huyu si nitonye huyu teh
naunga mkono hoja
Hivi yeye na nyandu wana uhusiano gani kaka?Hajitambui,mama yake alimdekeza sana
Ova
Hawana uhusiano washkaji tu wamekua pamojaHivi yeye na nyandu wana uhusiano gani kaka?
Mbona nyandu sasa hivi katulia sana tena naskia mchizi alishaoa