Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Wewe una ushahidi gani kama mtoto sio wa Harmo usihukumu wala kutoa hatia kwa mtu yeyote ikiwa wewe hu a ushahidi
Sina ushahidi , yy harmo angefuata taratibu za kudai mtoto kama ni wake, na sio kuchafua watu kwenye media
 
Yote hayo yanaweza kuwa
Who knows kama hamo aliotea masihara ya jino moja imo
 
si nasikia ni kiki ya kutoa wimbo mpya?....kwani wenyewe wanasemaje ndg mleta mada?.

halafu huyo botion si alikaa ndani karibia mwaka na nusu kwa amri ya makonda kipindi kile akiwa mkuu wa mkoa?. hajakoma tu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…