Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Ushamba, ujinga na usela mavi wa EMBER BOTION

Wewe una ushahidi gani kama mtoto sio wa Harmo usihukumu wala kutoa hatia kwa mtu yeyote ikiwa wewe hu a ushahidi
Sina ushahidi , yy harmo angefuata taratibu za kudai mtoto kama ni wake, na sio kuchafua watu kwenye media
 
kumbe ndo huyuu anatembea na dem wa Mzee wa kuwachetua Morrison
sema jamaa ni boya mnooo
mwanaume hagombei mtoto kihivyo na kidume mwenziee
suluhishoo ni vipimo tuu ndo angejua wake au si wakeee
ukute kijamaa kimemtafuna kweli huyooo dem mtembea uchiii
Yote hayo yanaweza kuwa
Who knows kama hamo aliotea masihara ya jino moja imo
 
si nasikia ni kiki ya kutoa wimbo mpya?....kwani wenyewe wanasemaje ndg mleta mada?.

halafu huyo botion si alikaa ndani karibia mwaka na nusu kwa amri ya makonda kipindi kile akiwa mkuu wa mkoa?. hajakoma tu?.
 
Huwa ana muonekano wa jambazi

Jambazi wapi mchumba tu yule.

SOUTH.jpg


Cc: Bushmamy
 
Back
Top Bottom