ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,282
- 4,251
Serious mtu unahejisifu kuwa umekaa sough Africa kwa miaka kadhaa unaenda kumteka mtu mbele ya kamera na kumlazimisha akili maneno ya uwongo ambayo umeyapanva wewe.
Seriously mtu mwenye exposure kama EMBa botion unafanya ujinga na upumbavu mbele ya kamera ya unafanya uvunjifu wa sheria na amani mbele ya kamera yani namqanisha kamera zikiwa on zinakurekodi live
Ivi Emba botion hana washauri wenye akili timamu ama haajui kuwa jamuhuri ya Tanzania ina serikali halali ilioapishwa ili kulinda katiba ya jamuhuri ya Tanzania unafanya upumbavu na uvunjifu wa sheria mbele ya kamera ukitegemea kwamba wewe utakuwa safe kweli
Yaani kijikundi cha vijana wavuta bangi wa kinondoni mjiunde na kwenda kumteka na kumtishia amani na maisha mtanzani mwenzinu tena mbele ya kamera alafu mtegemee serikali kukaa kimya kweli seriouly
Yaani nilikuwaga nadhani Uyo Emba botion ni mjanja kumbe ni bonge la kolo tena nadhanikoko kishinda ata makalo wooooooooooooote duniani nachomaanisha ni Emba botion ni mtu asiye tumia akili kabisa
Unaawezaje kufanya utekaji wa binadamu mwenzio tena mtanzania mwenzio mbele ya kamera namna ile ivi unafikiri kuwa Harmolapa sio mtanzania halisi ama hana haki zoooote ambazo anapaswa kuwa nazo mtanzania
Mwisho Emba botion wewe ni mshamba wa kiwango cha lami yaani wewe una usela mavi ule uswla wa kizamani na sheria za jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni lazims zikuhukumu mzer
Jukumu la kwanza la serikali ya jamuhuri ya muungano waTanzania ni kulinda amani ustawi na haki ya kila mtanzaniakuwa huru kabla ya mahakamakumuhukumu
Seriously mtu mwenye exposure kama EMBa botion unafanya ujinga na upumbavu mbele ya kamera ya unafanya uvunjifu wa sheria na amani mbele ya kamera yani namqanisha kamera zikiwa on zinakurekodi live
Ivi Emba botion hana washauri wenye akili timamu ama haajui kuwa jamuhuri ya Tanzania ina serikali halali ilioapishwa ili kulinda katiba ya jamuhuri ya Tanzania unafanya upumbavu na uvunjifu wa sheria mbele ya kamera ukitegemea kwamba wewe utakuwa safe kweli
Yaani kijikundi cha vijana wavuta bangi wa kinondoni mjiunde na kwenda kumteka na kumtishia amani na maisha mtanzani mwenzinu tena mbele ya kamera alafu mtegemee serikali kukaa kimya kweli seriouly
Yaani nilikuwaga nadhani Uyo Emba botion ni mjanja kumbe ni bonge la kolo tena nadhanikoko kishinda ata makalo wooooooooooooote duniani nachomaanisha ni Emba botion ni mtu asiye tumia akili kabisa
Unaawezaje kufanya utekaji wa binadamu mwenzio tena mtanzania mwenzio mbele ya kamera namna ile ivi unafikiri kuwa Harmolapa sio mtanzania halisi ama hana haki zoooote ambazo anapaswa kuwa nazo mtanzania
Mwisho Emba botion wewe ni mshamba wa kiwango cha lami yaani wewe una usela mavi ule uswla wa kizamani na sheria za jamuhuri ya muungano wa Tanzania ni lazims zikuhukumu mzer
Jukumu la kwanza la serikali ya jamuhuri ya muungano waTanzania ni kulinda amani ustawi na haki ya kila mtanzaniakuwa huru kabla ya mahakamakumuhukumu