Ushangiliaji huu wa Yanga SC una maana gani?

Ushangiliaji huu wa Yanga SC una maana gani?

Tuwekee hapa hiyo picha.
Hii hapa
Screenshot_20221212-135423_TikTok.jpg
 
Kuna ishara ya kuzibwa mdomo na kuna ishara ya bunduki kichwani(kupiga risasi)
Halafu washangiliaji ni wa kongo..

Jumlisha hapo utapata jawabu.
Sasa Kibwabwa kaweka bunduki mbili kichwani kabisa.
 
[emoji304][emoji304][emoji304][emoji304][emoji304]
[emoji24] For [emoji196] Fc
 
Masikini Kibwabwa....... Kajilenga double double..! Yuko Mbaaali Na Yanayoendelea.!
 
Back
Top Bottom