ushauli kuhusu kusoma medical doctor

ushauli kuhusu kusoma medical doctor

Medical hapana kupata mtihani.
Akimbilie pharmacy au medical laboratory kidogo anapenya.
 
Mtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
 
Mtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Huyu anaweza ingawa competition ni kubwa sana.Min ni point 9 kuingia medicine kwa mwongozo wa TCU ila sasa competition ni kubwa sana kwani wanaangalia mpaka matokea ya Olevel kwa the same subjects.
 
Back
Top Bottom