Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anawz akakosa..jaribun na kada zingn kama pharmacyhabari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8
chem-B
phy-B
bio-D
anatak kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Jaribu Bugando mwz utapata ila vyuo vya serikali ushindani mkali sana kwa human medicine [emoji381]habari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8
chem-B
phy-B
bio-D
anatak kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Yes,, Udom uhakikaMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
UpoMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Habari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish
ndoto hii ndo changamoto mtoto kafaulu lakini anaweza kukosa anachopenda kukisomea
Huyu anaweza ingawa competition ni kubwa sana.Min ni point 9 kuingia medicine kwa mwongozo wa TCU ila sasa competition ni kubwa sana kwani wanaangalia mpaka matokea ya Olevel kwa the same subjects.Mtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Anaweza pata asipopata muhimbili kuna St John's main campus Dodoma wako vizuri katika pharmacy.pharmacy kwa muhimbil atapata??
Huyu anaweza ingawa competition ni kubwa sana.Min ni point 9 kuingia medicine kwa mwongozo wa TCU ila sasa competition ni kubwa sana kwani wanaangalia mpaka matokea ya Olevel kwa the same subjects.
Duuh, siku hizi PCB 1/8 unawaza kupata MD ,enzi zetu hasi 2/11 ulikua unapata MUHASHabari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
hahaaaa ndo ivyo mkuu zama zimebadilikaDuuh, siku hizi PCB 1/8 unawaza kupata MD ,enzi zetu hasi 2/11 ulikua unapata MUHAS
Sent using Jamii Forums mobile app