Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
MD na Doctor of Dental Surgery kwa pamoja? Mwaka gani?
Mi nilipiga MD na DDS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilipiga MD na DDS
Nakubal MasterKula shule mfamasia,tuongeze nguvu tuje tulete drug discoveries za maana kama za kina Johnson&aJohnson.
D ya Chemia uchawi Huo hapo Msalaaa sizanJe mwenye,physics C,chemistry D na bios A naweza pata pharmac apo muhas..??
Kampala?Mi nilipiga MD na DDS
Habari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Wametanua goli na mitihani imekuwa ya ki olevelAkili zimeongezeka kwa vijana wetu,ama? Inakuwaje mavyuo mengi hivi lakini BCC inakuwa ngumu kwenda medical school? Au mitihani ni rahisi siku hizi?
Wametanua goli na mitihani imekuwa ya ki olevel
Hivi unasoma "Pharmacy" ili iweje?Jaribu tu hila Sizani,nipo Pharmacy hapa muhas Mwaka jana Waliishia Point saba yenye C ya bios
we jamaa umenichekesha sana.Nenda tandabui waliosoma C.O wanakula MAISHA.
we jamaa umenichekesha sana.
Hilo tangazo la hicho chuo huwa linanifurahisha sana.
"......waliosoma C.O sasa wanakula maishaaaa.."
Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa umenichekesha sana.
Hilo tangazo la hicho chuo huwa linanifurahisha sana.
"......waliosoma C.O sasa wanakula maishaaaa.."
Sent using Jamii Forums mobile app
Pharmaceutical science ni kwa level ya Certificate inaitwa hvyo ,hii ni Bachelor of pharmacy ,yan Hii kozi Kaongee na Mtu yeyote wa afya atakwambia Yan Ni kozi Yenye pesa kulinganisha na Nyingne ,TMDA mshahara Mpaka 3.3 M per month ,Chet cha mfamacia ukikiweka pharmacy wanakulipa kwanzia 1M per month wengne mpaka 1.5M [emoji3059]Hivi unasoma "Pharmacy" ili iweje?
Malengo yako ni yapi hadi ukachagua kusoma Pharmaceutical Science.
Sent using Jamii Forums mobile app
AnapataHabari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Akili zimeongezeka kwa vijana wetu,ama? Inakuwaje mavyuo mengi hivi lakini BCC inakuwa ngumu kwenda medical school? Au mitihani ni rahisi siku hizi?
Wakati nipo form Olevel Mzumbe,kuna form six PCB walikuw wanasongoka sana afu Necta unakuta wanapata 2 au 3...na kipindi hicho hata kutoa Tanzania 1 PCB ilikuw nadra sana..top ten nzima science utakuta ni PCM...nilivyofika advance PCB nikawa najiuliza mbona mm siwez kusoma sana kama wale jamaa n yet nikatusua poa tu na kumaliza MD yangu kirahisi tu...ila sasa nikiangalia na miaka ya karibuni madogo PCB wanafaulu sana kuzid hata enzi zangu mimi...hivyo nabak najiuliza nasisi tulikuw vilaza na madogo wanafaulu sana au mitihan imekuw mirahisi?
😄😄😄Pharmaceutical science ni kwa level ya Certificate inaitwa hvyo ,hii ni Bachelor of pharmacy ,yan Hii kozi Kaongee na Mtu yeyote wa afya atakwambia Yan Ni kozi Yenye pesa kulinganisha na Nyingne ,TMDA mshahara Mpaka 3.3 M per month ,Chet cha mfamacia ukikiweka pharmacy wanakulipa kwanzia 1M per month wengne mpaka 1.5M [emoji3059]
Sikuhizi shule nyingi zinapata div I kwa darasa zima[emoji1][emoji1], hata wakiweka kigezo cha I-5 kwenda MD bado ushindani utakua mkubwa.Wakati nipo form Olevel Mzumbe,kuna form six PCB walikuw wanasongoka sana afu Necta unakuta wanapata 2 au 3...na kipindi hicho hata kutoa Tanzania 1 PCB ilikuw nadra sana..top ten nzima science utakuta ni PCM...nilivyofika advance PCB nikawa najiuliza mbona mm siwez kusoma sana kama wale jamaa n yet nikatusua poa tu na kumaliza MD yangu kirahisi tu...ila sasa nikiangalia na miaka ya karibuni madogo PCB wanafaulu sana kuzid hata enzi zangu mimi...hivyo nabak najiuliza nasisi tulikuw vilaza na madogo wanafaulu sana au mitihan imekuw mirahisi?
Kama bado unasoma nakushauri utafute wadau wakushauri kabla hujamaliza shule.Pharmaceutical science ni kwa level ya Certificate inaitwa hvyo ,hii ni Bachelor of pharmacy ,yan Hii kozi Kaongee na Mtu yeyote wa afya atakwambia Yan Ni kozi Yenye pesa kulinganisha na Nyingne ,TMDA mshahara Mpaka 3.3 M per month ,Chet cha mfamacia ukikiweka pharmacy wanakulipa kwanzia 1M per month wengne mpaka 1.5M [emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda tandabui waliosoma C.O wanakula MAISHA.
Hahaha Dogo anasikiliza hadithi za kitaaaKama bado unasoma nakushauri utafute wadau wakushauri kabla hujamaliza shule.