MUHAS haiwezekani,UDSM haiwezekani,UDOM 50/50......KCMC,BUGANDO uhakikaMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUHAS haiwezekani,UDSM haiwezekani,UDOM 50/50......KCMC,BUGANDO uhakikaMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Anawz kosa labda aende privateMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
anawz akakosa..jaribun na kada zingn kama pharmacy
MUHAS haiwezekani,UDSM haiwezekani,UDOM 50/50......KCMC,BUGANDO uhakika
Kuna jamaa angu kasoma muhas na DCC enzi zileMambo yamebadilika sana. Nakumbuka zamani zangu watu walienda na DDE, DDD Muhimbili. Tena chuo kilikuwa kinachukuwa watu chini ya 40 kwa intake moja. Na kilikuwa chenyewe tu Tanzania nzima!
Kuna jamaa angu kasoma muhas na DCC enzi zile
Siku hizi kila mtu anafaulu[emoji1]
so kwel kua mamb ni rahis ila upatikanaj wa zana za kujifunzia umekua rahis imefikia hatua serikal imebadilish ad format ya mtian sikuiz swal lakuacha kweny kila mtian ni moja tu so kama yakitok maswal sita labla kweny phyz 2 unajib matano una acha mojaAkili zimeongezeka kwa vijana wetu,ama? Inakuwaje mavyuo mengi hivi lakini BCC inakuwa ngumu kwenda medical school? Au mitihani ni rahisi siku hizi?
hazijaongezeka ukitaka kujua waulize hao waliopata DDE walipata GPA za ngapi chuo na huyu mwenye BBC anatoka na GPA ya ngapi.Akili zimeongezeka kwa vijana wetu,ama? Inakuwaje mavyuo mengi hivi lakini BCC inakuwa ngumu kwenda medical school? Au mitihani ni rahisi siku hizi?
Biology ndiyo key subject hapo, hajalifanya vizuri, siyo mbaya aombe kcmc au Bugando competition siyo kubwa kama muhasHabari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Kama ana A olevel itampa unafuu, japo muhas bado ni pagumu sanaOlevel alikua na matokeo mazuri pia
InawezekanaMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Hapa muhimbili mwisho I-7 pharmacypharmacy kwa muhimbil atapata??
Sio Muhas Lakin ,D ya bios hawachukui hapaanawz akakosa..jaribun na kada zingn kama pharmacy
Udsm Anapata Campus ya MbeyaMtoto wangu ana CHEMISTRY B physics C na Biology C uwezekano wa kua doctors kwa government university upo!?
Jaribu tu hila Sizani,nipo Pharmacy hapa muhas Mwaka jana Waliishia Point saba yenye C ya biospharmacy kwa muhimbil atapata??
Kula shule mfamasia,tuongeze nguvu tuje tulete drug discoveries za maana kama za kina Johnson&aJohnson.Jaribu tu hila Sizani,nipo Pharmacy hapa muhas Mwaka jana Waliishia Point saba yenye C ya bios
Jaribu tu hila Sizani,nipo Pharmacy hapa muhas Mwaka jana Waliishia Point saba yenye C ya bios
😀😀😀😀😀Kula shule mfamasia,tuongeze nguvu tuje tulete drug discoveries za maana kama za kina Johnson&aJohnson.
Mi nilipiga MD na DDSMambo yamebadilika sana. Nakumbuka zamani zangu watu walienda na DDE, DDD Muhimbili. Tena chuo kilikuwa kinachukuwa watu chini ya 40 kwa intake moja. Na kilikuwa chenyewe tu Tanzania nzima!