Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 2,049
- 5,449
Kunyamaza kwake ni faida zaidi kuliko kukanusha, katika hali kama hii Kijana atulie kimya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba nawe unaamini Abdul ana pesa za kumhonga Lissu?Unauhakika? What if alirekodiwa au camera zilimnasa walipo kutana? Atakataa
Punguza mihemko kaka, bongo politics ni kitu kingine
Akafanye nini mahakani ikiwa ni kweli alienda kwa Lissu? Sidhani kama angekaa kimya kama asemacho Lissu ni uongo kwa asilimia mia moja.Salaam, Shalom!!
TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.
Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.
Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.
NB: Ukimya nao ni jibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Mtoto wa rais ni rais wa watoto wengineKwamba nawe unaamini Abdul ana pesa za kumhonga Lissu?
Kazitoa wapi hizo pesa?
tunamsubiri akifanya tu hivyo ndo iletunasemaga kaingia kwenye mfumoSalaam, Shalom!!
TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.
Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.
Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.
NB: Ukimya nao ni jibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Kuna fungu lao spesho kumbe lililonona?Mtoto wa rais ni rais wa watoto wengine
Pesa si lazima ziwe zake, anaweza kupewa tu yeye akatumika chambo. Na hili suala si mara ya kwanza, serikal zilizopita alikwua anatumia rostamKwamba nawe unaamini Abdul ana pesa za kumhonga Lissu?
Kazitoa wapi hizo pesa?
Ukiona kajibu mfano swali ili "we ni shoga" na wewe ukaitikia haraka kuwa mimi sio shoga ujue ni shiga asante abduliMimi pia nikiwa high school, nilishangaa sana kukuta mawe na magunzi kwenye vyoo vya shule,
Nikajiuliza labda Huwa Kuna watu wanakula mahindi chooni Kisha kuacha magunzi.
Turudi kwenye mada🙏
Mimi nisingekubali udhalilishaji wa aina hiyo.Akafanye nini mahakani ikiwa ni kweli alienda kwa Lissu? Sidhani kama angekaa kimya kama asemacho Lissu ni uongo kwa asilimia mia moja.
Soma hapa 👇Anyway, sidhani kama ndiye huyo Abdul anayeongelewa na Lissu!!
Ila Kuna watu majasiri!!Lissu alijibu kimtego lile swali la nyumbani kwako kuna camera? Akasema hakuna 😀 😀 😀
Awahi tumpige za jembe mapema,mana nae kilaza tu anachoweza ni ufisadi na upigaji dealSalaam, Shalom!!
TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.
Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.
Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.
NB: Ukimya nao ni jibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Huenda camera zilimnasa unajuaje?Salaam, Shalom!!
TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.
Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.
Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.
NB: Ukimya nao ni jibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
KAZI IPO kuelekea 2025.Hii kitu itaibukia kwenye kipindi cha "uchafuzi mkuu" kama kete muhimu sana.
HUyo wewe unajua ni nani?mimi sijui ila kila nikiwa mtaani nawasikia akina dulla zaidi ya mia kwa wiki,sijui wewe ndugu yangu,halafu kila ukimsikia unamsikia kwenye mambo ya ujanja ujanja,kama sio kwenye vigodoro,udalali,ama mziki wetuwa zengeli,ama ukabaji ama boda boda.Salaam, Shalom!!
TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.
Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.
Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.
NB: Ukimya nao ni jibu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Mtoto ni WA baba, mama asihusishwe!!Mtego wa Lissu upo kwenye ubini wa Abdul...