Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kunyamaza kwake ni faida zaidi kuliko kukanusha, katika hali kama hii Kijana atulie kimya tu.
 
Unauhakika? What if alirekodiwa au camera zilimnasa walipo kutana? Atakataa

Punguza mihemko kaka, bongo politics ni kitu kingine
Kwamba nawe unaamini Abdul ana pesa za kumhonga Lissu?

Kazitoa wapi hizo pesa?
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
Akafanye nini mahakani ikiwa ni kweli alienda kwa Lissu? Sidhani kama angekaa kimya kama asemacho Lissu ni uongo kwa asilimia mia moja.
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen
tunamsubiri akifanya tu hivyo ndo iletunasemaga kaingia kwenye mfumo
 
Kwamba nawe unaamini Abdul ana pesa za kumhonga Lissu?

Kazitoa wapi hizo pesa?
Pesa si lazima ziwe zake, anaweza kupewa tu yeye akatumika chambo. Na hili suala si mara ya kwanza, serikal zilizopita alikwua anatumia rostam
 
Mimi pia nikiwa high school, nilishangaa sana kukuta mawe na magunzi kwenye vyoo vya shule,

Nikajiuliza labda Huwa Kuna watu wanakula mahindi chooni Kisha kuacha magunzi.

Turudi kwenye mada🙏
Ukiona kajibu mfano swali ili "we ni shoga" na wewe ukaitikia haraka kuwa mimi sio shoga ujue ni shiga asante abduli
 
Akafanye nini mahakani ikiwa ni kweli alienda kwa Lissu? Sidhani kama angekaa kimya kama asemacho Lissu ni uongo kwa asilimia mia moja.
Mimi nisingekubali udhalilishaji wa aina hiyo.
 
Anyway, sidhani kama ndiye huyo Abdul anayeongelewa na Lissu!!
Soma hapa 👇
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Awahi tumpige za jembe mapema,mana nae kilaza tu anachoweza ni ufisadi na upigaji deal
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Huenda camera zilimnasa unajuaje?
 
Hii kitu itaibukia kwenye kipindi cha "uchafuzi mkuu" kama kete muhimu sana.
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
HUyo wewe unajua ni nani?mimi sijui ila kila nikiwa mtaani nawasikia akina dulla zaidi ya mia kwa wiki,sijui wewe ndugu yangu,halafu kila ukimsikia unamsikia kwenye mambo ya ujanja ujanja,kama sio kwenye vigodoro,udalali,ama mziki wetuwa zengeli,ama ukabaji ama boda boda.
 
Back
Top Bottom