Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Pre GE2025 Ushauri: Abdul aende mahakamani kumshtaki Lissu ili kujisafisha na tuhuma za RUSHWA zinazoelekezwa kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tukumbushe mara ya mwisho Lissu kushindwa kesi 😂😂😂Atajiaibisha zaidi, Lissu ataiomba mahakama imuite mama yake
 
WATU VICHAAA KAMA LISU NA CHADEMA UKIWASIKILIZA KILA WANACHOSEMA KISHA UWATILIE MAANANI UTASHINDWA KUISHI,NI HAWA HAWA WALISIMAMA KUMTUKANA MAREHEM LOWASA NA KUSENA FISADI PAPA NA KUWEKWA KWENYE ILE LIST OF SHAME,SUDDENLY WANAGEUKA NA KUMPA KIJITI CHA KUPEPERUSHA BENDERA YAO YA URAISI,SASA SI UNAONA KABISA HAWA WATU NI WAGONJWA WA AKILI??
 
Lissu alijibu kimtego lile swali la nyumbani kwako kuna camera? Akasema hakuna 😀 😀 😀
Hapo ndio utajua akili ya Lissu ilivyo ya juu na kutenda kazi haraka.
Hata nchi ina hitaji kiongozi mwenye sharp mind like that.
Kimsingi swali hilo hakulitegemea lakini kashtuka kuwa jibu litakuwa na impact gani
 
WATU VICHAAA KAMA LISU NA CHADEMA UKIWASIKILIZA KILA WANACHOSEMA KISHA UWATILIE MAANANI UTASHINDWA KUISHI,NI HAWA HAWA WALISIMAMA KUMTUKANA MAREHEM LOWASA NA KUSENA FISADI PAPA NA KUWEKWA KWENYE ILE LIST OF SHAME,SUDDENLY WANAGEUKA NA KUMPA KIJITI CHA KUPEPERUSHA BENDERA YAO YA URAISI,SASA SI UNAONA KABISA HAWA WATU NI WAGONJWA WA AKILI??
Amesisitiza juzi kuwa ana akili timamu.

Ungetuhakikishia kuwa wewe una akili timamu, ingekuwa jambo jema kabla ya kupoint fingers.
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Kwani amesingiziwa?
 
Salaam, Shalom!!

TUNDU Antipas Lissu amekuwa akirudia sana kuwa mtu aitwaye Abdul,amewahi kumfuata na kutaka kumhonga na kushindwa kutimiza Nia hiyo Kwa Lissu.

Lissu amekuwa akirudia mara Kwa mara jambo hili, Jana tena amesema akihojiwa na Ndugu Odemba Star tv.

Sasa ni muhimu Ndugu Abdul aende court kupitia wanasheria wake Ili kujisafisha na tuhuma hizi kubwa dhidi yake.

NB: Ukimya nao ni jibu.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿 Amen

Pia soma:Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
anao ubavu huo! unafkiri kwa tundu.lisu hakuna vitu vya usalama? unafkri kwa nini alisema aje kwake na akaenda? jipime
 
Mwacheni Dully anyonye tui la Mama, hekaheka za Lisu haziwezi atulie tu.
 
Hivi wakuu hamna hata picha ya abdul,

Maana ni muda sasa Abdul huku, Abdul kule, Abdul hapa.
Ila picha yake haijaonekana.
 
Back
Top Bottom