Hahaha alikua anataka nauli akanyimwaUlikua unataka nauli
Hata hiyo kazi hana, ni jobless tyuu.Ukaacha kupasuka kichwa kwa kukosa kazi upasuke kichwa kwa sms!?boss wako akigundua una akili hii anakufukuza kazi kuwa makini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]as far as hukuoffer anything kwa hio union yenu
Dada ukute alitumia nauli yake mkadinyane, alitumia hela yake kujihudumia ,akakusupport pia emotionally ndo mwenyewe huyo
Utamu wake uko wapi?Asubutuuuuuu😊😊!
Mapenzi matamu lo.
Ndyoo!! Kwani uongo? [emoji23][emoji23][emoji23]Haya sawa mkuu