Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

Fanya kazi kwa bidii kijana achanq na wanawake watakupoteza
 
Ukifikia umri wa kuitwa mwanaume acha kufanya maamuzi kwa kuendekeza hisia kwamba sijui unampenda nani mara nani anakutaka.

Man up bro.

NB.
Umaskini unatia HASIRA sana.
 
We bwa mdogo yaani ulishindwa kuomba hata ndugu zako? unaloloma hapa kwa hela za mwanamke.
Hizo ni zake,utaolewa nawewe ukiendekeza huo upoyoyo.
Boss stry umeisoma vizur
 
Rudiana nae tu mkuu maana you were made for each other pipa na mfuniko,Ila ingekuwa ni mm huyo eksi angeshaoga matusi mazito kmmk,yaani kusingekuwa hata na muda wa kuomba ushauri Jf maana hata namba angeshaifuta kwa maporomoko ya matusi shenz*#@$#@@@*@$$@ zake** kabisa.
 
as far as hukuoffer anything kwa hio union yenu

Dada ukute alitumia nauli yake mkadinyane, alitumia hela yake kujihudumia ,akakusupport pia emotionally ndo mwenyewe huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkubwa nakusisitiza "Jijenge kiuchumi kwanza achana na wanawake " sio kitu mbaya kujipanga ... hakikisha una uwezo wa kutosha kabla ujamchukua binti wa watu ...


Swali la kujiuliza je huyo ulie nae anaweza kuvumilia pia!? na je ingekua ni wewe uko upande wa mwanamke ungevumilia kama usemavyo!?


ukipata majibu basi utagundua suluhisho ni kuji jenga kiuchumi .. ili kuwa na uwezo wa kuwa na wigo mpana wa kuchagua ..


furahia umepata kazi ni hatua moja hujamaliza ligi yako ndo kwanza inaanza
 
Back
Top Bottom