Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

Kwanza jitathimini ww mwenyewe moyoni mwako bado una hisia nae? Vip ulienae ana vigezo unavyoitaji na una mpenda kweli?
Alafu chukua nafasi ya huyo mwanamke uliye nae uone ni maumivu kiasi gan atayapitia baada ya ww kurudiana na ex wako.
Mwisho fanya maamuzi
 
😅😅😅😅😅 ila
mkuu unapenda ona watu wanamatatizo yaakili sijui kwanini


Kwani nimeandika uongo?

Hakuna wanaume ambao wanwaogopa wan awake wenye viapato?

The same too kwa wanawake wapo ambao wanawaogopa wanaume ambao wapo well financial stable

Sasa mambo Kama haya nikimuambia ni tatizo la kuwa fixed mindset hauoni ni kweli100%

Matatizo yanayowasumbua watu kwa asilimia kubwa ni matatizo ya akili tu
 
Mwanaume hakataagi mwanamke mfanye awe masturbation yako
 
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.

Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.

Amekuisha hamu lakini bado unakosa cha kufanya mzee?

Itakuwa bado unampenda...
 
Muxt tufanye unanishauri mimi huo mkasa, ungenishaurije? Tuanzie hapa.

Pili, haujasema chanzo cha kuachana na uyo mwanamke wa kwanza na ni muda gani umepita.

Ila, nnachoweza kukushauri, ukiachana na mwanamke, ikivuka miezi mitatu, basi kamwe usirudi nyuma.
Mwezi wa12 tuliachana mwezi wa tatu nikapata kazi asahv simu haziishi kabisa
 
Muxt tufanye unanishauri mimi huo mkasa, ungenishaurije? Tuanzie hapa.

Pili, haujasema chanzo cha kuachana na uyo mwanamke wa kwanza na ni muda gani umepita.

Ila, nnachoweza kukushauri, ukiachana na mwanamke, ikivuka miezi mitatu, basi kamwe usirudi nyuma.
Chanzo alidai simpi muda wa kutosha mkuu amechoka
 
Tukisema kazi ni kipimo Cha utu muwe mnaelewa sw
 
Guys ninaomba ushauri,

Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.

Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.

Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.

Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.

Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
Chukua wote 😁
 
Bwana Muxt siku ukipata matatizo ya ki GEO POLITICAL SYMMETRICX INTERLACUTRINE GENTAMYCIAN ARITHMETIC IVAN STEPHONOVICH ndio uje kwa ma GT tukupe ushauri

Otherwise too basic, grow a pair!
 
nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela
We bwa mdogo yaani ulishindwa kuomba hata ndugu zako? unaloloma hapa kwa hela za mwanamke.
Hizo ni zake,utaolewa nawewe ukiendekeza huo upoyoyo.
 
Back
Top Bottom