Ushauri: Aliwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango sasa anapata ugumu kushika mimba. Anawezaje kupona tatizo hili? Nitafute mtoto kwingine?

Ushauri: Aliwahi kutumia dawa za uzazi wa mpango sasa anapata ugumu kushika mimba. Anawezaje kupona tatizo hili? Nitafute mtoto kwingine?

mkuu ni kuhakikishie huyo dogo ukimuona huulizi mara mbili,pia afya ya uzazi upande wangu nilishafanya haikuonekana tatizo,licha ya hivyo changamoto za mwanamke ziko wazi kabisa wala hakuna shaka na uwezo wake kukamata mimba katika hali alionayo sasa,mana anaweza kaa miezi hata sita hajaingia hedhi,mazingira kama hayo unaona kabisa sio rafiki.
Duh mwanamke anaishi kama mwanaume! Inamaana miezi 6 yoote yai halipevuki...anajiskia vibaya ilaaa simhurumiii ameyataka mwenyewe kwa haraka na tamaa zake ni wazi kwamba alikuwa na wanaume wengi aliogopa kupata mimba ya mtu asiyejulikana akarahisihsa mambo hakujali afya ya uzazi wake....mtu hana mtoto anatumia uzazi wa mpango anapanga nini kama sio kupanga wanaume
 
Ndugu yangu siku matumizi ya condom watu hawayataki, mimi nina rafiki zangu huwa wanatembea na vipimo vya HIV kabisa wakikutana na demu as long as wapo in safe days wanapima ngoma na kukamua mzigo kavu kavu.
kondomu wanawake hawawapendi usipo initiate wewe mwanaume wala hawajisumbui kuuliza,anyway karibu kwa ushauri.
 
Wewe mwenyewe umeshapima na kuonekana kuwa uko sawa unaweza kutungisha mimba? Maana inaweza kuwa wewe pia una tatizo na hata huyo mtoto wa ujanani ukawa umebambikiwa; au kuna tatizo limekupata huku ukubwani. Chunguza kwanza afya yako ya uzazi ili uwe na uhakika wa asilimia 100 kuwa mwenye tatizo ni mkeo na siyo wewe!
Na hili nalo neno.
 
Boyfriend n girlfriend si wanapima afya zap then mapenzi wanafanya kwa mahesabu na calendar ili binti atunze kizazi chake itapofikia umri wa kupata mtoto asipate shida kama Mungu kampangia....ila nachoamini binti anayetumia hizo sjui uzazi wa mpango ni malayaaaa umbwa akasome yaani anajilinda asije akapata mimba ya mtu asomfahamu kwa sababu kama ni Boyfriend mmoja kama yulo danger zone si anamwambia tu anamuelewa
changamoto sana,
 
Habari wana MMU, natumai muwazima ndani ya jukwaa letu pendwa.
Mimi ni kijana wa makamo niliye ndani ya ndoa sasa yapata mwaka wa tatu,na tatizo linalonikabili ndani ya ndoa yangu,nilikutana na binti mrembo ambaye kusema ukweli nilipenda sana na kuvutiwa naye hadi kufanya maamuzi ya kufunga ndoa ya kanisani,mwanzoni mwa uchumba binti huyu ambaye ni mke wangu kwa sasa alitumia sindano za kuzuia mimba kwa muda wa miezi sita mana wakati huo alikua yupo masomoni chuoni. Nilipogundua nilipiga marufuku asiendelee kuchoma sindano hizo,aliacha na tukaendelea na mahusiano hadi ndoa.

Baada yakumaliza tu tukafunga ndoa,,sasa yapata miaka mitatu mke wangu hasiki mimba ana unene uliopitliza,anaweza kaa hata miezi mitano hajaingia hedhi,anakiingia inaweza kaa hadi mwezi inatoka na inatoka mabonge mabonge,mwaka jana alishika mimba nayo ilitoka ndani ya mwezi mmoja,hadi sasa bado natafuta mtoto naye ila bado changamoto zake hazijakaa sawa.

Tumejaribu kwenda hospitali mbalimbali kubwa hapa mjini DSM tuaambiwa kuwa ni hormonal imbalance kwa sababau ya matumizi ya sindano za kupanga uzazi hivyo tukapewa dawa COC za miezi mitatu na kuambiwa tuendelea kuvumulia atatengamaa ila mpaka sasa bado.

Mimi wakati wa Ujana nilifanikiwa kupata mtoto,ambaye nikili wazi ndio faraja yangu kubwa kasasa,ingawa bado nahitaji sana watoto ndani ya ndoa yangu ukizingatia huyu mwanamke tumetoka naye mbali sana na nampenda,ila likija suala la uzao najihisi kukata tamaa na kuwaza kutafuta mwanamke mwengine anitafutiue uzao,naombeni ushauri nifanyeje na pia msaada ili kuweza tibu tatizo la mke wangu,nitashukuru sana.[emoji120]
Maamuzi nayotaka kuchukua ni either kumuacha kabisa na kuoa mwanamke mwingine au kuendelea naye huku nikitafuta mtoto kwingine,mana umri unaenda na mimi siwezi kuendelea kuvumilia.

N.B:mabinti kama mnampango wa kujenga familia na kuzaa watoto msitumie madawa ya panga uzazi kilio mnakileta kwenye ndoa.
Bila kupunguza unene hawez tatua tatzo...unene ndio chanzo..na unene uliopitiliza dawa yake ni puto au kufanyiwa gastric sleeve..yaan kukatwa utumbo..huku ulaya ni kawaida sanaaa...

Trust me hata ufanye dua na mitishamba gan.
Asipopunguza kilo kuanzia 20 ni kaz bure.

Na dawa za uzaz wa mpango wala sio chanzo ndugu.
 
Habari wana MMU, natumai muwazima ndani ya jukwaa letu pendwa.
Mimi ni kijana wa makamo niliye ndani ya ndoa sasa yapata mwaka wa tatu,na tatizo linalonikabili ndani ya ndoa yangu,nilikutana na binti mrembo ambaye kusema ukweli nilipenda sana na kuvutiwa naye hadi kufanya maamuzi ya kufunga ndoa ya kanisani,mwanzoni mwa uchumba binti huyu ambaye ni mke wangu kwa sasa alitumia sindano za kuzuia mimba kwa muda wa miezi sita mana wakati huo alikua yupo masomoni chuoni. Nilipogundua nilipiga marufuku asiendelee kuchoma sindano hizo,aliacha na tukaendelea na mahusiano hadi ndoa.

Baada yakumaliza tu tukafunga ndoa,,sasa yapata miaka mitatu mke wangu hasiki mimba ana unene uliopitliza,anaweza kaa hata miezi mitano hajaingia hedhi,anakiingia inaweza kaa hadi mwezi inatoka na inatoka mabonge mabonge,mwaka jana alishika mimba nayo ilitoka ndani ya mwezi mmoja,hadi sasa bado natafuta mtoto naye ila bado changamoto zake hazijakaa sawa.

Tumejaribu kwenda hospitali mbalimbali kubwa hapa mjini DSM tuaambiwa kuwa ni hormonal imbalance kwa sababau ya matumizi ya sindano za kupanga uzazi hivyo tukapewa dawa COC za miezi mitatu na kuambiwa tuendelea kuvumulia atatengamaa ila mpaka sasa bado.

Mimi wakati wa Ujana nilifanikiwa kupata mtoto,ambaye nikili wazi ndio faraja yangu kubwa kasasa,ingawa bado nahitaji sana watoto ndani ya ndoa yangu ukizingatia huyu mwanamke tumetoka naye mbali sana na nampenda,ila likija suala la uzao najihisi kukata tamaa na kuwaza kutafuta mwanamke mwengine anitafutiue uzao,naombeni ushauri nifanyeje na pia msaada ili kuweza tibu tatizo la mke wangu,nitashukuru sana.🙏
Maamuzi nayotaka kuchukua ni either kumuacha kabisa na kuoa mwanamke mwingine au kuendelea naye huku nikitafuta mtoto kwingine,mana umri unaenda na mimi siwezi kuendelea kuvumilia.

N.B:mabinti kama mnampango wa kujenga familia na kuzaa watoto msitumie madawa ya panga uzazi kilio mnakileta kwenye ndoa.
Kuna mama yupo instagram pia anaitwa dokta Alice mcheck
Pia anaweza jaribu
Atumie detox ya asili kuondoa sumu mwilini nakupunguza uzito
 
nikweli kabisa mwanamke aliyesawa anajuikana tu hasa katika mzunguko wake huwa hausumbui,huyu wangu naweza kaa hata miezi 6 hajaona siku zake,ama anaweza ingia mara mbili ndani ya mwezi mmoja,ama aka bleed hata wiki 3 mfululizo tena mbonge mabonge.
Ndo naskiaga na kuona kwa ndugu jamaa na marafiki hayo ndo madhara yake, kuna mate wangu wa chuo alizaa 2014 akachoma hayo baada ya miaka 5 akasema anaacha atafute mtoto wa pili ingawa yeye tayari alikuwa yuko kwenye ndoa hadi sasa navoandika hapa bado anatafuta mtoto na mimba haijaingia ng'oo
 
inaumi
Duh mwanamke anaishi kama mwanaume! Inamaana miezi 6 yoote yai halipevuki...anajiskia vibaya ilaaa simhurumiii ameyataka mwenyewe kwa haraka na tamaa zake ni wazi kwamba alikuwa na wanaume wengi aliogopa kupata mimba ya mtu asiyejulikana akarahisihsa mambo hakujali afya ya uzazi wake....mtu hana mtoto anatumia uzazi wa mpango anapanga nini kama sio kupanga wanaume
inauma sana mkuu,mabinti wengi wanatumbukia katika ujinga huu.
 
Bila kupunguza unene hawez tatua tatzo...unene ndio chanzo..na unene uliopitiliza dawa yake ni puto au kufanyiwa gastric sleeve..yaan kukatwa utumbo..huku ulaya ni kawaida sanaaa...

Trust me hata ufanye dua na mitishamba gan.
Asipopunguza kilo kuanzia 20 ni kaz bure.

Na dawa za uzaz wa mpango wala sio chanzo ndugu.
asante mkuu,nitalifanyia kazi
 
Kuna mama yupo instagram pia anaitwa dokta Alice mcheck
Pia anaweza jaribu
Atumie detox ya asili kuondoa sumu mwilini nakupunguza uzito
asante mkuu,nitajitahidi kumtafuta,hizo detox ni zipi na nataengenezaje?
 
Ndo naskiaga na kuona kwa ndugu jamaa na marafiki hayo ndo madhara yake, kuna mate wangu wa chuo alizaa 2014 akachoma hayo baada ya miaka 5 akasema anaacha atafute mtoto wa pili ingawa yeye tayari alikuwa yuko kwenye ndoa hadi sasa navoandika hapa bado anatafuta mtoto na mimba haijaingia ng'oo
daah,sasahivi vijana wakitaka kuoa wasijaribu binti aliyetumia hay madawa
 
Matumizi mabaya ya dawa za uzazi wa mpango yaani contraceptive drugs husababisha ugumba mainly secondary infertility.
Mabinti kuweni makini na contraceptive drugs laasivyo mtaolewa na mtaachika.
Ndugu ww vumiliya mkeo atashika mimba tu fataushauri wa wataalamu wa afya na mkeo ajitahidi apunguze mwili.
 
Tukiwaambia hachaneni na ndoa mnashupaza shingo, ona sasa umeenda kuoa gume gume limekwisha zuia mimba zaidi ya 50 kama Harry maguire, ungekuwa zako single usingehangaika na huu ujinga sababu unachaguo la kuzaa na mwanamke yeyote umtakaye kiroho safi, sio mpaka uanze kufikiria kumuacha Huyo tipwa tipwa, yaani mtu mzima na akili zako unamkuta mwanamke single anachoma sindano za kuzuia mimba na wewe unamuoa, hakika wewe ni kichwa maji, huyo beki hazikabi kwa kifupi umeoa maharage ya mbeya
 
asante mkuu,nitajitahidi kumtafuta,hizo detox ni zipi na nataengenezaje?
Apunguze kula wanga akiamka atengeze juis ya tango aweke na limao kidogo na tangawiz anywe kabla ya kula chochote na jioni kabla ya kula
 
Back
Top Bottom