Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ukwelinasema

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2021
Posts
454
Reaction score
542
Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni JF na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua BwanaJF ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa JF kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note:
Bibi JF ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana JF.

images.jpg
 
Naona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana

Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Inabidi jf baraza la wazee tukae kikao cha haraka sana maana haiwezekani akuchezee member mwenzetu.

 
Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?

Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.

Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.

View attachment 1998461
watu wako na archives za watu, so umakini unahitajika
 
Kumbe watu wanalambana kweli humu. Subiri na mimi nianze kuwinda demu wa kumlamba. Ila ujinga wa haya mambo ya majina ya uongo unaweza panga miadi kufika guest anaingia mkeo umlambe.
Wanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
 
Wanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
Una bahati mbaya sana mkuu[emoji3]

Mimi nakutana nazo nzuri(mali safi)kabisa nalambana nazo[emoji3]
 


Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
 
Back
Top Bottom