Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
- Thread starter
- #41
Anawalamba alolo mkuuKwani huyo Babu Jf anawalambaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anawalamba alolo mkuuKwani huyo Babu Jf anawalambaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tuaisee kumbe humu kulambana inaruhusiwa?
Sawa mkuuNaona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana
Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Soon nakuja na id yake + picha maana naona anajiachia kwenye uzi wangu wkt ni mchepuko tuKumbe wanarambika kirahisi namna hii, Ebo!!!!
Au umeamua kuwachafua tu kimtindo[emoji23]
Hakuna ubaya mkuuKwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
Pole mkuuWanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
HongeraUna bahati mbaya sana mkuu[emoji3]
Mimi nakutana nazo nzuri(mali safi)kabisa nalambana nazo[emoji3]
Namleta bwana jfWazee wa ukoo tuko apa .
Leta Jina la huyo Babu JF tumpige mkeka
Yale si yangu mkuuPole yako
Mie nalea teyari ila mwenzangu anaongezaPole sana shost, wewe lea tu hiyo mimba upate katoto kako katakulea uzeeni,
Wanaume ndivyo walivyooooo
Ni kweliMwambie atulie njia Ile Ile aliyopatiwa na wenzake ni hivo na kizuri ale na wenzake na ukute bwana ana I'd 40 humu
[emoji16][emoji16][emoji16]Mhurumie mwenzako wakati huu akijiandaa kuwa single mom, na ukute wenzake pia wajawazito
Hajapunguziwa na huduma anapewa ila kagundua hayo niliyoyaletaPole sana mamiii kwani akiwa na I’d nyingine kuna shida gani amepunguza mapenzi kwako.
Ushoga kazi ilq nimekwelewa mkuuMambo yao waachie wenyewe, wewe yasikuumize kichwa...
[emoji16][emoji16]Kuna zingine haziliki. Zimepinda kama kona za mlima Kitonga[emoji1][emoji1]
HongeraHuyu mimi kabisaaa[emoji23]
[emoji16][emoji16]Itakua Kama hivi[emoji1787]View attachment 1998672
Sawa mkuuMapenzi ya mtandaoni ni kuwa nayo makini sana mama wengi ni waongo waongo waweza kuta mwingine ameoa kabsa na anatafuta mchumba uku mtandaoni...anyway pole yake lkn