Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hata kapicha kata save waja wengi humu, mistake uliyofanya ni kumubebea mimba aiseeSoon nakuja na id yake + picha maana naona anajiachia kwenye uzi wangu wkt ni mchepuko tu
Pole shoooo[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna zingine haziliki. Zimepinda kama kona za mlima Kitonga[emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23]Huyu mimi kabisaaa[emoji23]
Hakuna namna itabidi umlambe hukohuko si nyote mnagundua kuwa si waaminifu.Kumbe watu wanalambana kweli humu. Subiri na mimi nianze kuwinda demu wa kumlamba. Ila ujinga wa haya mambo ya majina ya uongo unaweza panga miadi kufika guest anaingia mkeo umlambe.
Ahsante studio....
Muambie ache wivu atulie kwenye mahusiano yakeHajapunguziwa na huduma anapewa ila kagundua hayo niliyoyaleta
Nimesoma Hadi mwisho nikagumdua yeye ndy mwenye tatizo na anaumia sn..hebu fikiria mtu anaandika huku anaonyesha ana Amani kabisa na anaomba ushauri ili akampe huyo rafiki (ambaye ni yeye mwenyewe)..u can imagine ni jinsi gani anaumia.Mimi ninamuhurumia sn,na naomba MUNGU amtie nguvu wakati anapitia kipindi hiki kigumuMhurumie mwenzako wakati huu akijiandaa kuwa single mom, na ukute wenzake pia wajawazito
Kuna mchungaji alisema achana na simu ya mme wako au mke wako .hili neno linamaana kubwa sana sio kila kitu unapaswa kujua kuna vitu ukijua vitakuumizaMambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.
Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.
Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri
Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Tupeane muongozo mkuu, mali safi kama ipi umeila mzee baba?Una bahati mbaya sana mkuu[emoji3]
Mimi nakutana nazo nzuri(mali safi)kabisa nalambana nazo[emoji3]
Baba kijacho/ babu jf ndio mchepuko au mchepuko ni mwingine tena?Soon nakuja na id yake + picha maana naona anajiachia kwenye uzi wangu wkt ni mchepuko tu
Washanitunza kwako DjDj shikilia kidogo niseme jambo....
Kwani huyu Dada si ndio alisema kalipiwa mahari ila bado hajaolewa na mumewe kwa makaratasi (cheti)...?
Leo ameshaanza kutafuta visababu na ni mjamzito tayari.. Id yeye zinamuhusu nn.
Dj walete kati ma single Maza walete zawadi kwa mwenzao..
SawaMuambie ache wivu atulie kwenye mahusiano yake
Yangu nimemwachia Mungu nipo napambania ya wenzanguWe dada mambo ya kuwa na akaunti ingine ama kuchakata mbunye sio kazi yako,we kama unataka ndoa subiri ukiona huwezi tembea
Mbaya zaidi yupo hapahapa kwenye uzi wangu mtoto wa chuo,amina kwa maombiNimesoma Hadi mwisho nikagumdua yeye ndy mwenye tatizo na anaumia sn..hebu fikiria mtu anaandika huku anaonyesha ana Amani kabisa na anaomba ushauri ili akampe huyo rafiki (ambaye ni yeye mwenyewe)..u can imagine ni jinsi gani anaumia.Mimi ninamuhurumia sn,na naomba MUNGU amtie nguvu wakati anapitia kipindi hiki kigumu