Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Pole yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuuVizuri sana kama upo poa
Mimi niko poa/salama kabisa
Karibu mkuu
Ahsante studio....Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
Hii story ni yake 100%, yani alete story za member wengine wa jf na anajua wapo humu wote 😂😂.Inabidi jf baraza la wazee tukae kikao cha haraka sana maana haiwezekani akuchezee member mwenzetu.
Amenichumbia lakini hataki Ndoa
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa. Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa, mimi na mwenza wangu tuna miaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa. Kama mjuavyo, desturi zetu za...www.jamiiforums.com
Mhurumie mwenzako wakati huu akijiandaa kuwa single mom, na ukute wenzake pia wajawazitoNaona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana
Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]mchagua k huyo sio mgegedajiWanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
😀😀😀Mwambie atulie njia Ile Ile aliyopatiwa na wenzake ni hivo na kizuri ale na wenzake na ukute bwana ana I'd 40 humu
Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.
Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.
Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri
Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Kuna zingine haziliki. Zimepinda kama kona za mlima Kitonga[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]mchagua k huyo sio mgegedaji
Huyu mimi kabisaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mchagua k huyo sio mgegedaji
Itakua Kama hivi[emoji1787]Kwani huyo Babu Jf anawalambaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahahaItakua Kama hivi[emoji1787]View attachment 1998672