Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

..........kila mtu asimame kwny nafas yake, ukimchunguza bata hautamla.

Kama mmefkia kupeana na mimba, had harus mko njian kuifunga hayo mengne muachie mwenyewe. Usvpe umuhimu vtu vsvyo na umuhimu.


Ktka kulamba(ra) huko alikupata ww, muache jasr haachi asili
Umemaliza vizuri mkuu
 
Naona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana

Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Una moyo mbaya sana
 
Sijawahi kula mbususu za jeiefu[emoji2956] nafeli wapi mzee ebu nipe mbinu
Kaa vizuri na pm yako ila vitoto vya chuo ndovingi ila nawe hujataka tu au upo unatuchora hapa,shobo zote hizo unazopataga
 
Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Ogopa sana teknolojia.

Inaonekana ni wewe upo njia panda.

Fanya hivi,
1. Jikaze kikike uongee na mchumba wako

2. Makavu live kuhusu hiyo ID yake

3. Mpe orodha yq madem aliowapitia JF

4. Jadilini future yenu kama ndoa au doa

5. Jipe muda kabla ya kukubali ama kukataa.

6. Akiwa mbishi, karibu sana tukupunguzie machungu
 
Wanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
Kilichokaa hovyo ni umbo au naniliu?

Acha ubaguzi sheikh. Wapelekee moto hata kama ni michellin
 
Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?

Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.

Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.

View attachment 1998461
Hahaha hahahahaa nyoko kweli hahhahhhahah muogope Mungu na technology dah. Kumbe mleta mada ndio muathirika??
 
Nawapenda sana wadada wa JF, ni wa kweli na wawazi mno hasa kwa Wapenzi wao wa JF. Akipewa mimba anasema, anakuja hapa anatutangazia, tunashangilia na kufurahi

Akipata mchumba wa JF tunafurahi. Tunawatakia kila la heri kwenye penzi lla mtandaoni.

Wakimwagana wanakuja kusema, tunafurahi na kuendeleea kuwaombea ili bibie asijejinyonga maana huwa wanamwaga povu balaa.

Hadi sasa kuna Reported Case mbili za JF Males kuwapatia UKIMWI dada zetu, hizi ni reported case huenda kuna nyingine, wadada wa humu ni wa kweli na wawazi sana
 
Back
Top Bottom