Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
- Thread starter
- #81
Saana aisee nimeaminiKuna mchungaji alisema achana na simu ya mme wako au mke wako .hili neno linamaana kubwa sana sio kila kitu unapaswa kujua kuna vitu ukijua vitakuumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saana aisee nimeaminiKuna mchungaji alisema achana na simu ya mme wako au mke wako .hili neno linamaana kubwa sana sio kila kitu unapaswa kujua kuna vitu ukijua vitakuumiza
Hii inamaanisha unapataga mbayambaya mkuuTupeane muongozo mkuu, mali safi kama ipi umeila mzee baba?
Sijawahi kula mbususu za jeiefu🤩 nafeli wapi mzee ebu nipe mbinuHii inamaanisha unapataga mbayambaya mkuu
Umemaliza vizuri mkuu..........kila mtu asimame kwny nafas yake, ukimchunguza bata hautamla.
Kama mmefkia kupeana na mimba, had harus mko njian kuifunga hayo mengne muachie mwenyewe. Usvpe umuhimu vtu vsvyo na umuhimu.
Ktka kulamba(ra) huko alikupata ww, muache jasr haachi asili
Yataka moyo mkuuAcheni mambo ya kuchunguzana kama wapelelezi, nawasindikiza na wimbo[emoji205][emoji116]
Mchepuko mwingine na upo hapa unajimwambify ila babjf ndomwenye id mbili kwa sasa zilizogundulikaBaba kijacho/ babu jf ndio mchepuko au mchepuko ni mwingine tena?
Una moyo mbaya sanaNaona umeshapigwa mimba unakuja Kwa kumsema mtu anaomba ushauri wakati ni wewe ndy limekupata.Huyo jamaa aliyekupa ujauzito mwambie mkae chini myamalize mlee familia,humu hakuna atakayekupa ushauri wa maana
Alafu unaandika km mtu mwenye furaha sn lkn kumbe unaumia Kwa like jamaa amekufanyia..pole sn mrembo
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kaa vizuri na pm yako ila vitoto vya chuo ndovingi ila nawe hujataka tu au upo unatuchora hapa,shobo zote hizo unazopatagaSijawahi kula mbususu za jeiefu[emoji2956] nafeli wapi mzee ebu nipe mbinu
Sana tuUna moyo mbaya sana
Pole snMbaya zaidi yupo hapahapa kwenye uzi wangu mtoto wa chuo,amina kwa maombi
Nina Moyo mbaya kivipi madamUna moyo mbaya sana
Ogopa sana teknolojia.Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.
Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.
Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri
Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Kilichokaa hovyo ni umbo au naniliu?Wanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
Huyu manzi ni mkweli sana ndo maana hajui kudanganya.Hii story ni yake 100%, yani alete story za member wengine wa jf na anajua wapo humu wote [emoji23][emoji23].
Huyu manzi ata kudanganya hajui aisee.
Yote kwa yote pole yake na amkanye huyo bwana jf.
Hahaha hahahahaa nyoko kweli hahhahhhahah muogope Mungu na technology dah. Kumbe mleta mada ndio muathirika??Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
Hata kama umemtambua hukutakiwa kuandika ivoNina Moyo mbaya kivipi madam