Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
- Thread starter
- #121
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante
Itakua sio standard zake anazokutana nazoKilichokaa hovyo ni umbo au naniliu?
Acha ubaguzi sheikh. Wapelekee moto hata kama ni michellin
Kama jina langu lisemavyo sipindishagi jombaa
Wacha wee bibieKwani akiwalamba huyo best ako anapungukiwa nini?? Bwanajf Lambalamba zimejaa kibao humu
Sio kweliHahaha hahahahaa nyoko kweli hahhahhhahah muogope Mungu na technology dah. Kumbe mleta mada ndio muathirika??
Hapahapa mpaka kielewekeNawapenda sana wadada wa JF, ni wa kweli na wawazi mno hasa kwa Wapenzi wao wa JF. Akipewa mimba anasema, anakuja hapa anatutangazia, tunashangilia na kufurahi
Akipata mchumba wa JF tunafurahi. Tunawatakia kila la heri kwenye penzi lla mtandaoni.
Wakimwagana wanakuja kusema, tunafurahi na kuendeleea kuwaombea ili bibie asijejinyonga maana huwa wanamwaga povu balaa.
Hadi sasa kuna Reported Case mbili za JF Males kuwapatia UKIMWI dada zetu, hizi ni reported case huenda kuna nyingine, wadada wa humu ni wa kweli na wawazi sana
Wote ni walewale kwanguUkwelinasema si bora huyo aloamua kucheat kwa I'd nyingine kuliko mtu anaecheat na kujiachia na wanawake wengine laifu laifu kwa id hiohio.... ....
IndeedHii ndo JF
Yeye si mchepuko sababu yuko kwenye process za ndoaNa Ukute baba jf anamuhakikishia huyo mchepuko kuwa yeye ndio yeye wengine michepuko tu hahahaaa...nahivi hajamuoa mpira waweza geuka hawa ndio wanaume wa jf bana....
Mtoa mada anajuaje kama yeye ndio njia kuu wengine michepuko??? What if yeye ndio mchepuko??
UsijaliBasi niombee msamaha..sikujua km ningeeleweka vibaya. Ukwelinasema I'm sorry bn Kwa comment yangu hapo juu sikujua ningeeleweka vby
Bado sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu kashaachwa
Kuzaa ni choice mydia na pale hajabahatisha hata ningekua me mapacha namzawadia tuJamani hadi huruma na kuzalishwa keshazalishwa.... Wanawake tujifunze jamani tusishobokee wanaume kiivo..mwanzo wa mapenzi utajiona wewe ndio wewe malaika akasome ila 18 zikifika ndio haya...... Wanawake wenzangu tusikurupuke kubeba mimba jamani..
Badobado kidogoInabidi tuwepo waokoa jahazi wa kujitolea.
Single mother in waiting, tumsitiri
We jamaa ni mseng*** 🤣🤣🤣🤣Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461
Wengine hatujaelewaKutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Sio wote, mbona wengine sisi ni wastaarabu.Pole sana shost, wewe lea tu hiyo mimba upate katoto kako katakulea uzeeni,
Wanaume ndivyo walivyooooo
Prisca na Mary acheni kiherehere hahahahahaaha JF inanifanya nianze weekend vizuri, na ada nimemaliza kulipa imebaki pesa ya kwendea Kaskazini kwa Krismasi tuKutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Kwani ukisema ni wewe kuna ubaya gani?
Weka wazi ili baraza la wazee wa jf tukae kikao cha dharura kumuweka sawa huyo jamaa yetu.
Jf ni reputable platform anatakikana aendane nayo, kama mmekutana humu jf msituangushe bwana.
View attachment 1998461