Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]

Sasa unawapiga beat kwani si wamefuatwa kama wewe ulivyofuatwa? Tena kwa ID nyingine

Deal na mchumba ako, hana staha.

Hapa ndiyo tunapokosea wanawake, tunapoacha kudeal na mkosaji.
 
Wanawake tunajuaga kutia huruma. Umalaya wa bwana ake anaufumbia macho, yupo busy na waliotongozwa kama yeye, tena mtu hata hajakuoa. Asijisahau, anaweza kuishia kuwa baby mama, na hao kina Mary ndiyo wakaolewa.
Sasa unawapiga beat kwani si wamefuatwa kama wewe ulivyofuatwa? Tena kwa ID nyingine

Deal na mchumba ako, hana staha.

Hapa ndiyo tunapokosea wanawake, tunapoacha kudeal na mkosaji.
 
Na Ukute baba jf anamuhakikishia huyo mchepuko kuwa yeye ndio yeye wengine michepuko tu hahahaaa...nahivi hajamuoa mpira waweza geuka hawa ndio wanaume wa jf bana....
Mtoa mada anajuaje kama yeye ndio njia kuu wengine michepuko??? What if yeye ndio mchepuko??
😂😂😂😂 Yani watu ni matapeli, mtu anaweza kukutapeli pesa akakutapeli hadi uchi...
 
Wanawake tunajuaga kutia huruma. Umalaya wa bwana ake anaufumbia macho, yupo busy na waliotongozwa kama yeye, tena mtu hata hajakuoa. Asijisahau, anaweza kuishia kuwa baby mama, na hao kina Mary ndiyo wakaolewa.

Hajui kama anampa kichwa huyo mwanaume wake.

Yaani nilikua namuonea huruma huko juu, nilipokuja kusoma hiyo comment yake akanichosha.

Wakina Mary popote walipo wakaze wasimuache huyo mwanaume maana bidada hajielewi.
 
Mambo zenu wana jf,poleni kwa jua na karibuni pepsi baridi tupunguze machungu ya dunia,nisiwachoshe kwa maneno mengi ni hivi.

Bwana amepata Bibi hapahapa mtandaoni Jf na maisha yameendelea kwa mahaba na bashasha kemkem chaajabu bibie kagundua Bwanajf ana account nyingine tofauti na waliyopatiana na anaendeleza kuwalamba alolo mabinti wa jf kama kawaida.

Nimeombwa ushauri na me nikaamua kulileta humu labda naweza nikapata chakuongezea kwenye kumshauri

Note,
Bibi jf ni mke mtarajiwa + mjamzito wa Bwana Jf.View attachment 1998429
Wewe acha mara moja kumchunguza chunguza mumeo unachokitafuta utakipata..
 
Hajui kama anampa kichwa huyo mwanaume wake.

Yaani nilikua namuonea huruma huko juu, nilipokuja kusoma hiyo comment yake akanichosha.

Wakina Mary popote walipo wakaze wasimuache huyo mwanaume maana bidada hajielewi.
Dada una roho ngumu sana
 
Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Hapa umekosea aisee..! Pia unaeza leta varangati na ugomvi kwa wanaume walionao hao wanawake ulowataja kwa majina..
 
Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
😀😀😀kwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako 😀😀😀
 
Hao kina mary nao ndo wajuane sasa kuwa kuna prisca na mwingine keshazalishwa huko!
 
Back
Top Bottom