Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchepuko kivip wakati na wewe walewale tu[emoji849][emoji849]Soon nakuja na id yake + picha maana naona anajiachia kwenye uzi wangu wkt ni mchepuko tu
Nimetoka kumuuliza hili swali[emoji848]Na Ukute baba jf anamuhakikishia huyo mchepuko kuwa yeye ndio yeye wengine michepuko tu hahahaaa...nahivi hajamuoa mpira waweza geuka hawa ndio wanaume wa jf bana....
Mtoa mada anajuaje kama yeye ndio njia kuu wengine michepuko??? What if yeye ndio mchepuko??
Hehehehe naona Mary tuko wengi jaman[emoji23][emoji23][emoji23]Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Twiiiin[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1690][emoji1690][emoji119]mweee
Wanawake hatupendani[emoji57][emoji57]Sasa unawapiga beat kwani si wamefuatwa kama wewe ulivyofuatwa? Tena kwa ID nyingine
Deal na mchumba ako, hana staha.
Hapa ndiyo tunapokosea wanawake, tunapoacha kudeal na mkosaji.
Case closed[emoji119][emoji119]Wanawake tunajuaga kutia huruma. Umalaya wa bwana ake anaufumbia macho, yupo busy na waliotongozwa kama yeye, tena mtu hata hajakuoa. Asijisahau, anaweza kuishia kuwa baby mama, na hao kina Mary ndiyo wakaolewa.
We Mary hebu tulia[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani watu ni matapeli, mtu anaweza kukutapeli pesa akakutapeli hadi uchi...
Nitulie kivipi, huo ni ukoroooofiiii😂😂We Mary hebu tulia[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
Aisee una balaa wwUna bahati mbaya sana mkuu[emoji3]
Mimi nakutana nazo nzuri(mali safi)kabisa nalambana nazo[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahaha ni ya shoga ake[emoji3][emoji3][emoji3]kwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako [emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaniiii! [emoji23][emoji23]Kama nawaona akina tombatomba [emoji15]Wanawake hatupendani[emoji57][emoji57]
Hilo limalaya lake ndio linatongoza, how come uwabwatukie wanawake wenzie[emoji849]
Dada umempa kavu hata juice ya kushushia hamna[emoji23][emoji23]We dada mambo ya kuwa na akaunti ingine ama kuchakata mbunye sio kazi yako,we kama unataka ndoa subiri ukiona huwezi tembea
Kwa makavu haya... asipojifungua siku si zake sijui.... Ni hatari kwa hali aliyonayo masikini hadi Nimemuonea huruma!Dada umempa kavu hata juice ya kushushia hamna[emoji23][emoji23]
Amenikwaza mpenzi, ebu imagine mpenzi umempatia jf unaanza kumchunga kana kwamba mlicheza wote komborera,Dada umempa kavu hata juice ya kushushia hamna[emoji23][emoji23]
Akome yaani mpenzi umpatie humu afu utake kumchunga kwani we ndo wa kwanza kufatwa Pm?Kwa makavu haya... asipojifungua siku si zake sijui.... Ni hatari kwa hali aliyonayo masikini hadi Nimemuonea huruma!
Hihihihihihi iiii..... !! Jamani! Mwanaume hachungwi aisee!!Amenikwaza mpenzi, ebu imagine mpenzi umempatia jf unaanza kumchunga kana kwamba mlicheza wote komborera,
Naona ana pambana kweli kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hahaha ni ya shoga ake