Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Lol! Nahisi Kuna mtu anazimia huko kwa hizi koments zenu jamani!! !Akome yaani mpenzi umpatie humu afu utake kumchunga kwani we ndo wa kwanza kufatwa Pm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol! Nahisi Kuna mtu anazimia huko kwa hizi koments zenu jamani!! !Akome yaani mpenzi umpatie humu afu utake kumchunga kwani we ndo wa kwanza kufatwa Pm?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Nitulie kivipi, huo ni ukoroooofiiii[emoji23][emoji23]
(Kwa sauti ya yule maza chapombe)
Naunga mkono hoja kama vipi jina liweke wazi au nasema uwongo Wanawake wenzangu 😬😬Wanawake hatupendani[emoji57][emoji57]
Hilo limalaya lake ndio linatongoza, how come uwabwatukie wanawake wenzie[emoji849]
Duuh nipe connection PM Owo oumukaUnachelewa mi nshasevu zangu [emoji23][emoji23]
Assist my...Uzi unaenda kufutwa soon ngoja nihifadhi picha[emoji51][emoji51]
Hebu muacheni shoga angu kuibiwa mtarajiwa kunauma jamaniiMchepuko kivip wakati na wewe walewale tu[emoji849][emoji849]
Hahahaha..bwana jf ana msuli huoooo!! Halafu anaonekana pia yupo vizuri kiuchumi nahisi sio kwa muonekano ule! Jiant fulani hivi ameizingggggg!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh nipe connection PM Owo oumuka
Zimejaa tele pmAssist my...
Shoga angu na wewe unapenda muonekano mzuri wa mtu mbona wa kawaidaaa sanaaaa binafsi Kidume wa disaini ile kuwa muaminifu ni asilimia ndogo sana.Hahahaha..bwana jf ana msuli huoooo!! Halafu anaonekana pia yupo vizuri kiuchumi nahisi sio kwa muonekano ule! Jiant fulani hivi ameizingggggg!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee kumbe humu kulambana inaruhusiwa?
Ngoja nikimbie[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Zimejaa tele pm
Ngoja nikimbie[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Zimejaa tele pm
Ngoja nikimbie[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wee unanisikiliza miye nachochea kuni!!! amechambwa sana wacha nimpe moyo jamani. Aisee mimi siangalii muonekano wala pesa ya mtu na sitakagi masihara linapokuja suala la kutupanga afu nikuchekee mimi!!Shoga angu na wewe unapenda muonekano mzuri wa mtu mbona wa kawaidaaa sanaaaa binafsi Kidume wa disaini ile kuwa muaminifu ni asilimia ndogo sana.
Nikajua umependa ule mguu wa bia na pozzzWee unanisikiliza miye nachochea kuni!!! amechambwa sana wacha nimpe moyo jamani. Aisee mimi siangalii muonekano wala pesa ya mtu na sitakagi masihara linapokuja suala la kutupanga afu nikuchekee mimi!!
Kunauma sanaaaa......![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji144]Hebu muacheni shoga angu kuibiwa mtarajiwa kunauma jamanii
LolWanalambika sana ...ila nilishajaribu mkuu mara kadhaa ila sijawahi pata pisi ya maana nikaamua kukata tamaa kabisa...nyingine niliamua kuzikimbia kabla hatujakutana live...zimekaa hovyo sana au nilikuwa na bahati mbaya sijui
Image mtu anakwambia Jf nzima we pekee ndo pisiii kali na hakuna kama wewe baadae unagundua mpo wengi lazima roho ipasuke😬😬Kunauma sanaaaa......![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji144][emoji144][emoji144]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. !!! Hapana aisee mambo ya jf ukiyachukulia serious utakufa siku si zako!!!Nikajua umependa ule mguu wa bia na pozzz