🤣🤣🤣🤣Yaleyale ya Zamaradi kugombana na michepuko ya Ruge, au Zari na michepuko ya Dai; mbona walisurrender wenyewe. Afu wewe mwenyewe sio hata mke, ni baby momma tu ila unawaona wenzio michepuko teh
KabisaTatizo lake sio mwanaume ni wanawake. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanaweza kuwa public na bado akaendelea.Yani imebidi nisome comments zote.
Wanaume wa hivyo kauli mbiu yao ni mapenzi ya siri ili awatafune vizuri
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hebu naomba maelekezo maana naona kama mbele fuso kwa pembeni scania! Kwani kuna nini humuMungu amtie nguvu bibi JF, inaumiza Sana 🤣🤣
📌📌📌Njoo PM
Ni ukorofiii😁😁Yani mimi ningekua Mary ningeanza kuonyesha mapenzi yetu na bwana JF live live sasa tuone atanifanya nini
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Sasa si anajikuta mbabe [emoji1787]Ni ukorofiii[emoji16][emoji16]
Hatujuagi nguvu ya ukimya na dharau wanawake wengi na hii inatugharimu mno.i know how it feels kujua mwanaume wako anachepuka na mtu mwingine hata kama hajakuoa.
This is too low........huu muda wa kukimbizana kugombana na wanawake waliotongozwa kama wewe unautoa wapi? Bora utafute hata udongo ule kuifurahisha mimba.Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
Nilikuwa sitaki kucomment nilivyofika kwenye comment yake hiyo nimeona bado ana safari ndefu. Atagombana na wangapi?[emoji3][emoji3][emoji3]kwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako [emoji3][emoji3][emoji3]
Hata kama Jf nzima haijalishi muhimu wakina Marry wamuachie Tango lake afaudu peke yake😀😀Nilikuwa sitaki kucomment nilivyofika kwenye comment yake hiyo nimeona bado ana safari ndefu. Atagombana na wangapu?
Kimasihara 🤣🤣🤣🤣
Ni huzuni kwakweliNilikuwa sitaki kucomment nilivyofika kwenye comment yake hiyo nimeona bado ana safari ndefu. Atagombana na wangapi?
Anajifanya mgeni humuHujui mwanasimba mwenzangu? Kwamba hata humu tunaanza kufahamiana by pics/ meeting then twa'fall [emoji23]
Umeanza tena🤣🤣..bado upo kanda ya ziwa?Dogo? 🤔
Kuna mambo yakufanya umuache mtu sio kutoamba bana tena anatoamba raia wa kawaida tu??? Aaaah kazi iendelee hakuna kuachana[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji1787]
Uke wenza we unauweza? Tena wa jf? Haahaaa
Na mimi naomba jamaniMbona nimekutumia mda my?[emoji849][emoji849]
Hujaziona?
Mbona jana tumemuona live [emoji3][emoji3]