Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bwana jf weeeee una upaja wa maanaKama unataka kunitunuku yote heri tu😎 walau niipate title hio kwa haki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana jf weeeee una upaja wa maanaKama unataka kunitunuku yote heri tu😎 walau niipate title hio kwa haki
Prisca na Mary acheni kiherehere hahahahahaaha JF inanifanya nianze weekend vizuri, na ada nimemaliza kulipa imebaki pesa ya kwendea Kaskazini kwa Krismasi tu
Ahaaahaaa tunaoshinda wengi humu ni majobless so ni mwendo kukamatana na bacteria tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Kumbe story za kaswende humu huwa ni real!!![emoji849]
Weeee jobless utakua ni we peke ako prisca, wengine wote humu tuna kazi nzuri, tumejenga, tuna magari, jitahidi upate kazi 😂😂😂Ahaaahaaa tunaoshinda wengi humu ni majobless so ni mwendo kukamatana na bacteria tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
Upaja upi tena😎Bwana jf weeeee una upaja wa maana
Sina ugeni wowote humu!Halafu, just curious are you new to JF...kama ndio basi come without fasta tukufanyie ukaguzi!
Upaja wa kuku 😁Upaja upi tena😎
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]!Tangu nitoke na vijana kadhaa humu ndani sitaki hata kuwasikia [emoji3064] ndio yaleyale ya kuambukizana magonjwa ya zinaa
Aisee mi hata sikujua kidumu chama cha mapinduzi!Upaja wa kuku 😁
Upaja kama upaja![emoji23][emoji23][emoji23] naimagine Mary akiukalia ule upaja dahhhh![emoji12]Upaja upi tena[emoji41]
Tangu nitoke na vijana kadhaa humu ndani sitaki hata kuwasikia 🥺 ndio yaleyale ya kuambukizana magonjwa ya zinaa
Sina ugeni wowote humu!
Hujapata mchepuko wa JF bado? Nitakuunganisha na Mpwa wangu Extrovert[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]sijutii kua JamiiForums
Kumbe kuna makubwa zaidi ya instagram na FB
Msema kweli Mpenzi wa MunguTangu nitoke na vijana kadhaa humu ndani sitaki hata kuwasikia 🥺 ndio yaleyale ya kuambukizana magonjwa ya zinaa
Babu wataka utupiamo ndoana?Okay, you're kinda new to me!
yaan sisi humu tumekaa kistaarabu kujadili agenda nyetinyeti kupush maswala mtambuka ya nchi, kumbe huko nyuma kuna watu wana fanya mapenzi,, na mahusiano yanajibu kabisa... sio vizuri
Tangu nitoke na vijana kadhaa humu ndani sitaki hata kuwasikia [emoji3064] ndio yaleyale ya kuambukizana magonjwa ya zinaa
Haahaahaa wanamiliki magonjwa ya zinaa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji22]
Weeee jobless utakua ni we peke ako prisca, wengine wote humu tuna kazi nzuri, tumejenga, tuna magari, jitahidi upate kazi [emoji23][emoji23][emoji23]