Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Msema "kweri" ni mpenzi wa Mungu. Naomba mniombee ndugu zangu. Hii vita ya PM haijawahi kuwa rahisi hata siku moja, na mimi nimedhamiria kweri kweri kupigana vita hivi, na tutashida tu

[emoji23][emoji23][emoji23]unataka uzame piemu kwa mtu nini
Angalia usije ukazama mazima
Kwa upendo wa hali ya juu natuma vikosi vya FBI na CIA ikiwezekana ili kama hali ni mbaya waje kukuokoa mkuu
 
Back
Top Bottom