Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Naweka tu rekodi sawa mkuu, unaweza jikuta unarudia mkeka ule ule...ifu yu no wara am seying...
Hahaha hahaha Umenikumbusha wimbo wa Ferooz, akamtongoza Mara ya pili.....huu mchezo wa kubadili ID dah
 
Nawapenda sana wadada wa JF, ni wa kweli na wawazi mno hasa kwa Wapenzi wao wa JF. Akipewa mimba anasema, anakuja hapa anatutangazia, tunashangilia na kufurahi

Akipata mchumba wa JF tunafurahi. Tunawatakia kila la heri kwenye penzi lla mtandaoni.

Wakimwagana wanakuja kusema, tunafurahi na kuendeleea kuwaombea ili bibie asijejinyonga maana huwa wanamwaga povu balaa.

Hadi sasa kuna Reported Case mbili za JF Males kuwapatia UKIMWI dada zetu, hizi ni reported case huenda kuna nyingine, wadada wa humu ni wa kweli na wawazi sana
Mkuu inabidi tuwe na kitengo cha kurekodi hizi case maana ni nyingi Sasa. Na zile za wanaotafut wachumba ni nyingi sana siku hizi
 
Rafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..

Tufute urafiki..
Hahahaha... Ulikua wapi jamani!! Au? Kweli kweli 11 years umetoka kapa?! You can't be serious Rafiki siaminiii!
 
Back
Top Bottom