Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬😬😬Acha kuifananisha Jf na vitu vya kijingaJf kama badoo[emoji39][emoji39][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂Ambazo msingi tu umekula mil 60+...😎
Sisi ndo sisi, wengine mafisi
Kumbe watu wanalambana kweli humu. Subiri na mimi nianze kuwinda demu wa kumlamba. Ila ujinga wa haya mambo ya majina ya uongo unaweza panga miadi kufika guest anaingia mkeo umlambe.
Haahhaha nimeghairi kabisa, naogopa![emoji23][emoji23][emoji23]unataka uzame piemu kwa mtu nini
Angalia usije ukazama mazima
Kwa upendo wa hali ya juu natuma vikosi vya FBI na CIA ikiwezekana ili kama hali ni mbaya waje kukuokoa mkuu
But you're not new to me!
Babu wataka utupiamo ndoana?
I thought we are only chatting in JF so some are playing behind our back by meeting to have sex?🤔
Hahaha hahaha Umenikumbusha wimbo wa Ferooz, akamtongoza Mara ya pili.....huu mchezo wa kubadili ID dahNaweka tu rekodi sawa mkuu, unaweza jikuta unarudia mkeka ule ule...ifu yu no wara am seying...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] !! Ila Kazi mnayo!!!Naweka tu rekodi sawa mkuu, unaweza jikuta unarudia mkeka ule ule...ifu yu no wara am seying...
Mkuu inabidi tuwe na kitengo cha kurekodi hizi case maana ni nyingi Sasa. Na zile za wanaotafut wachumba ni nyingi sana siku hiziNawapenda sana wadada wa JF, ni wa kweli na wawazi mno hasa kwa Wapenzi wao wa JF. Akipewa mimba anasema, anakuja hapa anatutangazia, tunashangilia na kufurahi
Akipata mchumba wa JF tunafurahi. Tunawatakia kila la heri kwenye penzi lla mtandaoni.
Wakimwagana wanakuja kusema, tunafurahi na kuendeleea kuwaombea ili bibie asijejinyonga maana huwa wanamwaga povu balaa.
Hadi sasa kuna Reported Case mbili za JF Males kuwapatia UKIMWI dada zetu, hizi ni reported case huenda kuna nyingine, wadada wa humu ni wa kweli na wawazi sana
Rafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..Bilabila doh!!
😂🤣🤣🤣🤣Rafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..
Tufute urafiki..
Hahaahaha sina pingamizi na hoja hiiMkuu inabidi tuwe na kitengo cha kurekodi hizi case maana ni nyingi Sasa. Na zile za wanaotafut wachumba ni nyingi sana siku hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] !! Ila Kazi mnayo!!!
Hahahaha... Ulikua wapi jamani!! Au? Kweli kweli 11 years umetoka kapa?! You can't be serious Rafiki siaminiii!Rafiki...Mbona hujawahi kuniambia kama kuna michezo ya kulana humu..Miaka 11 niliokaa humu na mm si ningejilambia wawili watatu..
Tufute urafiki..
Kweli kabisa..Ngoja na mi nianze rada..Hahahaha... Ulikua wapi jamani!! Au? Kweli kweli 11 years umetoka kapa?! You can't be serious Rafiki siaminiii!