Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Sasa si anajikuta mbabe [emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hatujuagi nguvu ya ukimya na dharau wanawake wengi na hii inatugharimu mno.i know how it feels kujua mwanaume wako anachepuka na mtu mwingine hata kama hajakuoa.

Mwanaume akigundua umejua anachepuka na ukamkalia kimya niamin itamuumiza kuliko kawaida.na atakuwa na maswali mengi yasiyo na majibu.

Kusalitiwa kunachoma mno.sasa shoga etu kachemka sana kwa alichokifanya😌
 
Kutokana na pm yangu kufurika kwa onyo na ushauri kemkem nimewaelewa sitoweka id zao hapa wala picha l[emoji849][emoji849] ila mdogo wangu prisca na mary(kwamajina yenu halisi)mkiendelea mnachokifanya ntawafanya kitu hamtasahau na hivi bado wadogo hata vizazi vyenu vibichi msijishaue kupanda milima msiyoiweza mkashindwa kumaliza chuo bure na hivi kwenu hapa kimara tu[emoji41][emoji41]
This is too low........huu muda wa kukimbizana kugombana na wanawake waliotongozwa kama wewe unautoa wapi? Bora utafute hata udongo ule kuifurahisha mimba.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]kwani shoga angu hii mada ni yako au ya mtu mwingine kama ulivyoandika kwenye uzi wako [emoji3][emoji3][emoji3]
Nilikuwa sitaki kucomment nilivyofika kwenye comment yake hiyo nimeona bado ana safari ndefu. Atagombana na wangapi?
 
[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16][emoji1787]
Uke wenza we unauweza? Tena wa jf? Haahaaa
Kuna mambo yakufanya umuache mtu sio kutoamba bana tena anatoamba raia wa kawaida tu??? Aaaah kazi iendelee hakuna kuachana
 
Back
Top Bottom