Ushauri: Amegundua mpenziwe ana akaunti nyingine JF zaidi ya ile anayoijua

Kwa kauli moja, kikao cha mabazazi kimemteua bazazi mmoja awe mfariji wa bibi JF...

Kauli mbiu, "mwanaume ukimvuruga mchuchu wako, mabazazi nao hawapo mbali kucheza na dead balls...kufa kufaana"

😁😁
 
yaan sisi humu tumekaa kistaarabu kujadili agenda nyetinyeti kupush maswala mtambuka ya nchi, kumbe huko nyuma kuna watu wana fanya mapenzi,, na mahusiano yanajibu kabisa... sio vizuri
🀣🀣🀣
 
This is too low........huu muda wa kukimbizana kugombana na wanawake waliotongozwa kama wewe unautoa wapi? Bora utafute hata udongo ule kuifurahisha mimba.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kauli moja, kikao cha mabazazi kimemteua bazazi mmoja awe mfariji wa bibi JF...

Kauli mbiu, "mwanaume ukimvuruga mchuchu wako, mabazazi nao hawapo mbali kucheza na dead balls...kufa kufaana"

[emoji16][emoji16]
And vice versa is true! Mdada ukizingua tunamdaka juu juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…