Ushauri: Ana CPA analipwa laki tatu anataka aache kazi

Ushauri: Ana CPA analipwa laki tatu anataka aache kazi

Watu wengi wenye taaluma za uhasibu wanalipwa vizuri sana.. ila ni wale majembe..

Mhasibu ambaye ana nafasi kubwa ya kulipwa vizuri kwenye soko la ajira ni yule aliyeanzia kazi big 4 auditing firms..

Hao watu wanajua kazi za uhasibu sana.. hizo kampuni pwc, delloite, ernst and young, kpmg zinawaandaa wahasibu wazuri sana. Na hao ndio wanalipwa vizuri wakitoka hizo big 4
Ni kweli kabisa...

Ila siyo wote... Wengine hata hawajapitia huko...
 
Mhasibu wa halmashauri bila CPA basic 710,000/=
Sasa huyu mwenye take home laki 3 sijui yuko ofisi gani?
Jamaa kadanganywa. Labda alikuwa anampiga mzinga jamaa akaamua kusema nalipwa laki tatu ha ha ha
 
1.Jamaa yako ni kilaza plus.
2.Hana jipya lolote analoongeza kwenye kampuni, ni kati ya wale ambao huwa wanaitwa "seat warmers", he does not add any value to the company.

3.Watu huwa hawalipwi kwa thamani ya vyeti/elimu zao au uzoefu, bali huwa wanalipwa directly proportional to the value they add to the company.

4.Kwa sababu ya namba moja na namba mbili hapo juu, hata akijiajiri the chances are, hatafanikiwa katika huko kujiajiri, maana principles ni zile zile.

5.Hapo halipo hawawezi kumlipa milioni 3 maana wanaona yeye thamani anayoongeza kwenye kampuni ni laki 3 tuu..!!
Afanye nini?:

1.Ajiulize kwa kujifanyia self evaluation, je kwenye kampuni anayofanya kazi, what value does he add?

2.Kila siku wakati anaingia ofisini, ajiulize leo ataongeza faida gani kwenye kampuni, na wakati wa kutoka ajiulize ameongeza faida gani kwa kampuni?

3.Aache kufanya kazi kwa mazoea kwamba yeye ana CPA sijui ana masters, aongeze ubunifu kwenye kazi yake, awe bora zaidi ya jana kila siku na ahakikishe kila siku anajifunza jambo jipya ya namna gani anaweza kuboresha kazi yake.

4.Afanye hayo matatu religiously kwa muda wa miezi 3-6,

5.Baada ya hapo, aanze kuomba kazi mbalimbali sehemu nyingine-Kwenye CV yake ahakikishe ame-include quantifiable achievements ambazo ameweza kufanikisha in his current position. Hapo, akipata nafasi kampuni nyingine, kama kweli alifanya kwa ufanisi hatua namba 1 hadi 3 nilizoandika hapo juu, lazima akituma tu resignation letter, watamuita kwa maongezi na kumwambia wayajenge, hapo sasa ndo anataja hizo 3m; Wakiwa tayari sawa, wakichomoa anaenda zake huko alikopata.
Kukudume2013

umeongea ukweli na ni vizuri sana sanaaaa mkuu

Ila ningeomba uanze kuongelea na upande wa waajiri pia maana wao sio perfect creatures and treating them as such haswa kwa time hii ambapo ajira hakuna. Kuna kitu mnazidi kukipalilia

nina mengi ya kuongea based on my own experience na ya watu wangu wa karibu..
ila usiku ushaanza kuwa mwingi ni kheri nipumzike
 
umeongea ukweli na ni vizuri sana sanaaaa mkuu

Ila ningeomba uanze kuongelea na upande wa waajiri pia maana wao sio perfect creatures and treating them as such haswa kwa time hii ambapo ajira hakuna. Kuna kitu mnazidi kukipalilia

nina mengi ya kuongea based on my own experience na ya watu wangu wa karibu..
ila usiku ushaanza kuwa mwingi ni kheri nipumzike
Mkuu, nakuelewa sana unachosema.
Unadhani mimi namaanisha kuwa employers ni perfect creatures? I know they are not, na wapo several empoyers ambao ni washenz.i tu pia, au wahuni, wana under-pay, wana create toxic working cultures kwenye maeneo yao ya kazi, etc.
But, unajua kwa nini nime-judge huyu ni kilaza? 10 yrs you are underpaid wewe unalalama tuu, huchukui hatua yoyote upo tuu.... Una CPA, una masters unalipwa laki 3, mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne....... hadi wa kumi...? Kazi kubwa ni kulalama tuu...? Huyu lazima ni kilaza. Ni wale wasio add value yoyote ya maana kwenye organization.
Nitakupa mfano wangu mwenyewe, nina miaka 7 so far tangu nimalize internship. Sina Masters wala bado (ndo naisoma now-online), tayari nimebadilisha waajiri zaidi ya mara 5...! Why? Career growth, waajiri washenzi, economic growth, etc!
Na my current job, sikufanya application wala, i was literally head-hunted, if you know what that means. Why? Because I put 150% effort into whatever i am doing nikiwa nafanya kazi. And people notice that, na sifa haziishii kwa employer unaemfanyia kazi tu, zina spread!! Ila ukiwa seat warmer, aaahhh utapoteza muda sana tuuu, kwa sababu huna pa kwenda!! I can comfortably tell you that in the niche that i have picked in my job-industry, there are only a handful of people who are as extraordinary as I am..... Sio kwamba najisifia, but i want you to see the angle that I am coming from.
Pia, mimi employer akiwa mshenzi, I dont complain..!! I start a job search, and move the fuc.k off..!!! Na nikifanya kazi sehemu ninahakikisha na-add value kweli kweli, sio tu kuwa seat warmer.... Kila sehemu ambayo niliondoka, walikua wananibembeleza na kuniita for negotiation kwamba why am i leaving, what could they do so that i stay. Principle yangu mimi ni MOJA. Nikiona employer anani underpay au hatimizi majukumu yake ipasavyo, naanza kutafuta kazi nyingine immediately..!!
Shida pia, ukweli usemwe wabongo wengi walioajiriwa ni seat warmers tuu; Japo ukiwaambia ukweli wanakasirika. They are not ready to take efforts to be EXTRAORDINARY in what they are doing. Anyways, niishie hapa pia mkuu.
Eyce
 
Mkuu, nakuelewa sana unachosema.
Unadhani mimi namaanisha kuwa employers ni perfect creatures? I know they are not, na wapo several empoyers ambao ni washenz.i tu pia, au wahuni, wana under-pay, wana create toxic working cultures kwenye maeneo yao ya kazi, etc.
But, unajua kwa nini nime-judge huyu ni kilaza? 10 yrs you are underpaid wewe unalalama tuu, huchukui hatua yoyote upo tuu.... Una CPA, una masters unalipwa laki 3, mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne....... hadi wa kumi...? Kazi kubwa ni kulalama tuu...? Huyu lazima ni kilaza. Ni wale wasio add value yoyote ya maana kwenye organization.
Nitakupa mfano wangu mwenyewe, nina miaka 7 so far tangu nimalize internship. Sina Masters wala bado (ndo naisoma now-online), tayari nimebadilisha waajiri zaidi ya mara 5...! Why? Career growth, waajiri washenzi, economic growth, etc!
Na my current job, sikufanya application wala, i was literally head-hunted, if you know what that means. Why? Because I put 150% effort into whatever i am doing nikiwa nafanya kazi. And people notice that, na sifa haziishii kwa employer unaemfanyia kazi tu, zina spread!! Ila ukiwa seat warmer, aaahhh utapoteza muda sana tuuu, kwa sababu huna pa kwenda!! I can comfortably tell you that in the niche that i have picked in my job-industry, there are only a handful of people who are as extraordinary as I am..... Sio kwamba najisifia, but i want you to see the angle that I am coming from.
Pia, mimi employer akiwa mshenzi, I dont complain..!! I start a job search, and move the fuc.k off..!!! Na nikifanya kazi sehemu ninahakikisha na-add value kweli kweli, sio tu kuwa seat warmer.... Kila sehemu ambayo niliondoka, walikua wananibembeleza na kuniita for negotiation kwamba why am i leaving, what could they do so that i stay. Principle yangu mimi ni MOJA. Nikiona employer anani underpay au hatimizi majukumu yake ipasavyo, naanza kutafuta kazi nyingine immediately..!!
Shida pia, ukweli usemwe wabongo wengi walioajiriwa ni seat warmers tuu; Japo ukiwaambia ukweli wanakasirika. They are not ready to take efforts to be EXTRAORDINARY in what they are doing. Anyways, niishie hapa pia mkuu.
Eyce

well balanced 👏👏👏👏

Sikumaanisha you were wrong ila i wanted to see someone balancing hii story sababu most of time watu wanawalaumu workers au job seekers, in reality kuna bosses wachache out there who value their workers' efforts

Fact moja kubwa uliyoongea pia ambayo nilichelewa kuijua na icanicost vibaya mnoo ni kufanya attachment na working place. Inafikia hatua sehemu ishakuwa toxic, hakuna growth or anything yet you stay kwa kupoteza muda tu

na kiukweli most bosses watakupa thamani yako wakishaona kuna gap kwa absence yako...

pia bro nimejifunza vingi asubuhi hii kwenye comment yako.. Nashukuru sana and stay blessed
 
Mkuu, nakuelewa sana unachosema.
Unadhani mimi namaanisha kuwa employers ni perfect creatures? I know they are not, na wapo several empoyers ambao ni washenz.i tu pia, au wahuni, wana under-pay, wana create toxic working cultures kwenye maeneo yao ya kazi, etc.
But, unajua kwa nini nime-judge huyu ni kilaza? 10 yrs you are underpaid wewe unalalama tuu, huchukui hatua yoyote upo tuu.... Una CPA, una masters unalipwa laki 3, mwaka wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne....... hadi wa kumi...? Kazi kubwa ni kulalama tuu...? Huyu lazima ni kilaza. Ni wale wasio add value yoyote ya maana kwenye organization.
Nitakupa mfano wangu mwenyewe, nina miaka 7 so far tangu nimalize internship. Sina Masters wala bado (ndo naisoma now-online), tayari nimebadilisha waajiri zaidi ya mara 5...! Why? Career growth, waajiri washenzi, economic growth, etc!
Na my current job, sikufanya application wala, i was literally head-hunted, if you know what that means. Why? Because I put 150% effort into whatever i am doing nikiwa nafanya kazi. And people notice that, na sifa haziishii kwa employer unaemfanyia kazi tu, zina spread!! Ila ukiwa seat warmer, aaahhh utapoteza muda sana tuuu, kwa sababu huna pa kwenda!! I can comfortably tell you that in the niche that i have picked in my job-industry, there are only a handful of people who are as extraordinary as I am..... Sio kwamba najisifia, but i want you to see the angle that I am coming from.
Pia, mimi employer akiwa mshenzi, I dont complain..!! I start a job search, and move the fuc.k off..!!! Na nikifanya kazi sehemu ninahakikisha na-add value kweli kweli, sio tu kuwa seat warmer.... Kila sehemu ambayo niliondoka, walikua wananibembeleza na kuniita for negotiation kwamba why am i leaving, what could they do so that i stay. Principle yangu mimi ni MOJA. Nikiona employer anani underpay au hatimizi majukumu yake ipasavyo, naanza kutafuta kazi nyingine immediately..!!
Shida pia, ukweli usemwe wabongo wengi walioajiriwa ni seat warmers tuu; Japo ukiwaambia ukweli wanakasirika. They are not ready to take efforts to be EXTRAORDINARY in what they are doing. Anyways, niishie hapa pia mkuu.
Eyce
mkuu umeongea kwa hisia kali sana ,
ok asante kwa ushauri ngoja nimpatie maana nakopi na ukupaste then naprint nikampe akasome.
 
Nitammwabia lkn ameniambia yeye hapo ktk ofc ya serikali anategemewa sana sana hasa ktk kuandaa maheaabu ya mwaka na ni mtaalamu sana maana anajua sana kompiter ana jua mifumo ya fedha kisawasawa.na kashajitahidi sana kutaka kuhama hapo alipo lkn ofc yake imemkazia akiandika barua ya kuhama wanamkatalia katakata.anatokaje hapo?

Yani ww ulieandika hii mada hapa ndio unamfanya jamaa aonekane kilaza

1. eti akiandika barua ya kuhama wanamkatalia. ofisi gani ya serikali wanamlipa mhasibu CPA laki 3?? Kama anajitolea Sawa lakini ajira CPA alipwe laki 3

2. anajitahidi kuhama lakini anashindwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio yeye take home hiyo anasema.maana tangu apate cpa hajapanda mpk jana naongea naye

Sasa ww ni kima sana, kwa hiyo unadhani ukiwa kazini ukaletq cheti kikubwa ndio mshahara unapanda???. hata kama angekuwa hana CPA asingelipwa hiyo laki 3.

Ww umekurupuka kuleta hii mada wakati hujui jakaa yupoje kazini.


Jamaa huenda ameajiriwa kwa elimu ya certificate ili hali yeye ana degree na CPA pia. sasa analipwa laki 3 ya certificate yake.

Mambo ya kufunga mahesabu na accounts za shirika hizo ni shobo zake tuu. nani alimpangia hayo majukumu
 
Kuna mjamaa mmoja yupo ameajiriwa sehemu rasmi ana sifa zote za kuwa na mshahara usiopungua 3m kwenda juu .maana anayo master ya fedha na anayo CPA kapata mwaka juzi lkn mpk sasa analipawa laki 3 .alikuja kwangu kuniomba ushauri nikamwambia poa nitakupa.maana yeye anataka aache kazi ili ajiajiri mwenyewe.

Hebu tumpe ushauri huyu mjamaa kabla ya kuacha kazi asije kufa njaa
Mwambie aache alafu wewe umuajiri.Kama ana CPA na Masters na Bado hajui cha kuamua nafikir atulie hapo hapo alipo.Ila Kama kweli ana CPA Mwambie atume CV yake masokotz@yahoo.com.
 
Sasa ww ni kima sana, kwa hiyo unadhani ukiwa kazini ukaletq cheti kikubwa ndio mshahara unapanda???. hata kama angekuwa hana CPA asingelipwa hiyo laki 3.

Ww umekurupuka kuleta hii mada wakati hujui jakaa yupoje kazini.


Jamaa huenda ameajiriwa kwa elimu ya certificate ili hali yeye ana degree na CPA pia. sasa analipwa laki 3 ya certificate yake.

Mambo ya kufunga mahesabu na accounts za shirika hizo ni shobo zake tuu. nani alimpangia hayo majukumu
haha mku umekasirika sana.
 
1.Jamaa yako ni kilaza plus.
2.Hana jipya lolote analoongeza kwenye kampuni, ni kati ya wale ambao huwa wanaitwa "seat warmers", he does not add any value to the company.

3.Watu huwa hawalipwi kwa thamani ya vyeti/elimu zao au uzoefu, bali huwa wanalipwa directly proportional to the value they add to the company.

4.Kwa sababu ya namba moja na namba mbili hapo juu, hata akijiajiri the chances are, hatafanikiwa katika huko kujiajiri, maana principles ni zile zile.

5.Hapo halipo hawawezi kumlipa milioni 3 maana wanaona yeye thamani anayoongeza kwenye kampuni ni laki 3 tuu..!!
Afanye nini?:

1.Ajiulize kwa kujifanyia self evaluation, je kwenye kampuni anayofanya kazi, what value does he add?

2.Kila siku wakati anaingia ofisini, ajiulize leo ataongeza faida gani kwenye kampuni, na wakati wa kutoka ajiulize ameongeza faida gani kwa kampuni?

3.Aache kufanya kazi kwa mazoea kwamba yeye ana CPA sijui ana masters, aongeze ubunifu kwenye kazi yake, awe bora zaidi ya jana kila siku na ahakikishe kila siku anajifunza jambo jipya ya namna gani anaweza kuboresha kazi yake.

4.Afanye hayo matatu religiously kwa muda wa miezi 3-6,

5.Baada ya hapo, aanze kuomba kazi mbalimbali sehemu nyingine-Kwenye CV yake ahakikishe ame-include quantifiable achievements ambazo ameweza kufanikisha in his current position. Hapo, akipata nafasi kampuni nyingine, kama kweli alifanya kwa ufanisi hatua namba 1 hadi 3 nilizoandika hapo juu, lazima akituma tu resignation letter, watamuita kwa maongezi na kumwambia wayajenge, hapo sasa ndo anataja hizo 3m; Wakiwa tayari sawa, wakichomoa anaenda zake huko alikopata.
Kukudume2013
Thanks Mkuu for nailing. In short awe Innovative.
 
Mie tokea nilivyograduate nikaitwa Graduate Engineer bado sikuona kuwa kuna chakula kinajileta Mezani chenyewe.
Bado naambiwa kuwa inatakiwa uandikishwe Kama Professional Engineer nikajiuliza kuwa kwa iyo hapa ndo maisha yatalainika Sana sawa na kufumbua jipu lililoiva.

Kwanza niliambiwa kuwa Soma nikasoma mpaka chuo bado nikaona maisha ni kuhangaika tu na Wala hayajalainika inabidi ukomae usiku na mchana Kama wataka zaidi ya kulipia bills zako.

Nikawaza kuwa ukishakuwa na mhuri erb bado utakuwa unawapa watu hela kule wanakula za bure sijui kisa ndo wanakupa mhuri.
Nikasema kuwa hapa nilipofikia Kama haitoshi kuyaona hayo maisha mazuri basi hata nikiwa na mhuri hakuna kitaakachokuja bure.
Kuna mtu Ana pe yupo na wahindi na jamaa ni mzima mie ni kilaza kwake zaidi ya Mara Mia.

Ila wahindi wanamlipa laki nane kwa mwezi mpaka huruma. Anadai Kuna muda anasimamia design ya structures Fulani afu kampuni inalipwa 200M afu yeye anaambulia laki 8 kwa akili yake ujue.

Msomi na mkulima ni watu wa kupangiwa Kama watoto ama wanafunzi. Yaani unalima na unasoma kwa juhudi zako afu unapangiwa utauzaje ama utalipwaje Bei gani.hata mazao hayo utauzia wapi usipeleke nje.yaani ni mwendo wa utumwa.

Bado ukifanya kazi unaambiwa kuwa wewe ni mtt utajisahau kujitunza utakapostaafu so lete tukutunzie hela zako utakapoacha kazi tutakuwa tunakupa kidogo kidogo mpaka ufe Mana ulishazoea kutunzwa Kama mtt.

Haya maisha niliyachukiaje. Yaani unitunzie hela zangu Kama pension mbona wabunge wao hamwatunzii ama una mpango wa kunifanya niwe tegemezi mpaka naingia kaburini.

Nikaona sio Aina ya maisha niliyokuwa nayawaza nilipokuwa mdogo. Nashukuru mpaka saivi sijatunziwa hela na hao wanaonipenda nimejitunzia mwenyewe.
Hii comment yako inachoma had moyoni

Ngoja niiprint niiweke kwenye frame ikae sebulen aisee..duh
 
Back
Top Bottom