Hio nafasi ya kupewa show ndio sijaipata ili nioneshe ufundiMkuu ni kupe pole Sana, kwa Hali hiyo unayo pitia. Lakini nijuze jambo moja, hakuna kiumbe dhaifu kama mwanamke na Tena mwanamke ni mwepesi Sana katika mapenzi Wala hutumii nguvu tumia akili tu na relax.
Wewe binafsi jiangalie unafeli wapi, ikijumuisha usafi wako kimwili na kiroho, toa huduma kwa wakati, ukipewa show fanya kweli kwa ustadi na ufundi yaani mpe Raha kimapenzi Hilo linaweza kuchangia kukunyima penzi kama haumridhishi mpenzi wako. Kila la kheri mkuu.
Miaka 25Ana umri gani kama hautojali!?
Huu ni ukweli mchungu ambao mbuzi wa bwana heri haujuiπpole sana kaka ila ni wazi kwamba yuko na wewe kwasababu unamuhudumia na kumtimizia mahitaji yake ila hakupendi
Fuatilia vizuri! kuna mawili, mosi ana mtu ambaye anampa kipochi au amekupenda wewe kwa sababu ya huduma unazompatia! Aidha jiongeze umwambie ukweli wa moyoni! Achague moja!Miaka 25
Hajampenda hata kidogo ila jamaa anafosi penzi ila kwa vile hela za kuliwa zipo demu kakubali kishingo upande ili ageme hela za kumnunulia zawadi mpenzi wake.Fuatilia vizuri! kuna mawili, mosi ana mtu ambaye anampa kipochi au amekupenda wewe kwa sababu ya huduma unazompatia! Aidha jiongeze umwambie ukweli wa moyoni! Achague moja!
Mwanamke kapata kanyaboya wake π sipati picha anavyomtanganza kwa mashosti zakeIla manzi kajipata maana hakuna raha anayoiona mwanamke mbabe kama kupata mwanaume wa kumburuza ππ
Halafu uzuri zaidi umemzidi akili, umri, maisha hadi dhambi Ila dhiki ya ngono tu ndio inakutesa hivyo ππ.. Mpe hongera zake maana kakuzidi maturity mkuu
Ngoja nikanywe chai
Hapo unavaa roho ya simba na kumwambia iT'S OVER! maisha ni magumu sanaHajampenda hata kidogo ila jamaa anafosi penzi ila kwa vile hela za kuliwa zipo demu kakubali kishingo upande ili ageme hela za kumnunulia zawadi mpenzi wake.
NoFap Challenge vumilia tu siku itafika atakuparamia yeye mwenyewe muache hivyo hivyoShida ni hapo kuvumilia kula papuchi, hana vizinga au wakuu nifanyaje?
Mkuu nina imani kuwa mtaani hapo kuna watoto wengi warembo! Achana naye! Usijipe kazi ngumu MkuuNoFap Challenge vumilia tu siku itafika atakuparamia yeye mwenyewe muache hivyo hivyo
Mtoe out weekend mnaenda sehemu tulivu mnakaa kuongea mambo yenu ya msingi hasa mapenzi na pia jaribu kumwelewesha hisia zako kwake unafanya kama kumlainisha kumbembeleza kama unamtongoza umdanganye danganye lazima akubali hakuna mkate mgumu mbele ya chai, mwanamke ni mwepesi mno.Hio nafasi ya kupewa show ndio sijaipata ili nioneshe ufundi
Mwanamke akishaona chimbo la pesa huwezi kumbadilisha nafsi! HIYO IMEENDA!Mtoe out weekend mnaenda sehemu tulivu mnakaa kuongea mambo yenu ya msingi hasa mapenzi na pia jaribu kumwelewesha hisia zako kwake unafanya kama kumlainisha kumbembeleza kama unamtongoza umdanganye danganye lazima akubali hakuna mkate mgumu mbele ya chai, mwanamke ni mwepesi mno.
Tena kina Ashura π Yaani ukimpa Dera moja tu! Ndo umeshaoa! Kila suiku utapewa mechi!Unafugaje ng'ombe bila kuikamua maziwa.. Piga chini, chukua betty kanga moko, happy kichupi mkononi au ashura yote yako,