Namzingua kuwa wakati mtoto yuko kwenye ziwa yeye ndo anaendelea kupiga show. Kitu qmbacho kinamuathiri mtoto..Roho ngumu ipi hapo, yani ukae miezi 6 usubiri mwenzio amalize kunyonyesha uanze kula mzigo
Yeah hiyo sawa,wanasema una mbemendaNamzingua kuwa wakati mtoto yuko kwenye ziwa yeye ndo anaendelea kupiga show. Kitu qmbacho kinamuathiri mtoto..
Just a joke
Hivi hii innazuia ukuaji wa mtoto?Yeah hiyo sawa,wanasema una mbemenda
Mtoto ukiwa unakula huku ananyonya
Tatizo dunia ya sasa tumetawaliw na ngono sana kichwaniKitaalamu hii ni lazima ucheat
Mwanamke anawezakuwa binti kumbe?Ina relate vipi na hoia ya mleta hoja...
Aache ujinga wa kuminya na kukamua maziwa,binti aoge maji yaliyotiwa iliki,mdala sini kukata shombo ya maziwaNdugu zangu wakati huu nahitajika nitoe majibu kwa kijana wangu.
Anapitia wakati mgumu. Ana mpenzi wake anampenda kwa dhati.
Wamebarikiwa kupata mtoto.
Tatizo lilipo sasa.
Anashindwa kufanya mapenzi na huyu binti maana yupo kipindi cha kunyonyesha. Binti anahitaji mapenzi ila kijana anashindwa , inshort anaona kinyaa huyu kijana. Na hata akisema ajilazimishe hufanya ilimradi lakini yeye haenjoy wala kufika hali ile yakusema ameridhika.
Sasa!!
Ananiambia anachotaka huyu binti amalize kunyonyesha, ndipo yeye aendelee.
Je! Hali hii huwakuta watu wengi au baadhi tu?
Na je! Afanyaje ili binti aelewe? Maana hata kufanya ilimradi anasema hawezi ni changamoto.
Nawasilisha. Msaada tafadhari, nimekosa majibu ya moja kwa moja kwake.
Ni kweli ndiyo , ndiyo hiyo kumembenda mtoto hatakua vizuriHivi hii innazuia ukuaji wa mtoto?
Mke wangu alivyojifingua mama alitaka aende kuishi nae kwake japo nilikataa. Wazazi walifanya hivi hapo zamani ili kumpa mama nafasi ya kujijenga kiafya
Naona alikua ana mu alert [emoji615] kuwa Sasa anaingia kwenye majukumu ya mama aache mambo ya usichanaMwanamke anawezakuwa binti kumbe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahUna hakika ni wa kiume?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkeqe ananyonyesha na K?
1. kijana mmoja alipewa mke China huko ila hapati mimba baada ya miaka mingi dokta kaja kugundua anafanya nyuma
2. Kuna Mzee na mke walikuwa wanafanya kwenye urethra ya mwanake over years ikaja tanuka coz alishindwa kuingiza ukeni na kudhania urethra ni uke
3. in 1980s Kijijini huko mke anavua nguo mume anKimbia nje kumwambia baba yake huyu mwanamke uliyenipa ana kidonda hana kama yangu
kifupi mpe kijana darsa kuna dogs style na za kumwaga hata huo mtindi hatouona
Hakuna kitu kama kumbemenda mtoto , hizo ni imani za kishenzi tu ...Ni kweli ndiyo , ndiyo hiyo kumembenda mtoto hatakua vizuri