Ushauri: Anapendwa na Mke wa mtu

Ushauri: Anapendwa na Mke wa mtu

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240614_150042.jpg
 
Kuna jamaa jirani ninapofanyia kazi, kafumaniwa na mke wa mtu; mwenye mke akamwambia achague moja kati ya kichapo au kufirwa.

Jamaa akachagua kufirwa.

Alifika eneo hilo akiwa na gari yenye mzigo wake kupeleka sokoni Dar.

Kutokana na kadhia hiyo, asubuhi yake gari ilitangulia na yeye akachelewa na kuifata mchana.

Jamaa ana hali mbaya sana kisaikolojia maana watu wote wanaofanya naye kazi na vijiweni wanajua maana ni mtu maarufu pande hizo.
 
Usi waamini hao wake za watu wanakuaga waongo. Ukitaka kujua Kama waongo ngoja ufumaniwe. Utasikia mumewangu nakupenda shetani alinipitia.
 
Kuna jamaa jirani ninapofanyia kazi, kafumaniwa na mke wa mtu; mwenye mke akamwambia achague moja kati ya kichapo au kufirwa.

Jamaa akachagua kufirwa.

Alifika eneo hilo akiwa na gari yenye mzigo wake kupeleka sokoni Dar.

Kutokana na kadhia hiyo, asubuhi yake gari ilitangulia na yeye akachelewa na kuifata mchana.

Jamaa ana hali mbaya sana kisaikolojia maana watu wote wanaofanya naye kazi na vijiweni wanajua maana ni mtu maarufu pande hizo.
Kataka mwenyewe
 
Back
Top Bottom