spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Shida za kienyeji kukuta pichu ya canvas sio shida zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2013.....Aaaah, mbona ilikuwa balaa. Miaka ipi hiyo🤣🤣🤣
Mwambie aache ujinga, anataka kuacha kazi na pakuanzia hana, mkumbushe tena mwambie huku kitaa ni kwa moto sanaNiulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo.
Mazingira sio poa ni kijiji ndani huko, maduka mawili tu ya mpesa, benki mpaka utoe nauli ya elfu 6 ndio unafika.
Soma Pia: USHAURI: Niliacha kazi Serikalini kutokana na mazingira magumu ya kazi miaka miwili imepita, baada ya mambo yangu kutengemaa nataka kurudi